Mtu Asiyejulikana
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 1,694
- 3,982
Manara ana Nyota ya Ufitini na Uchonganishi. Wakati anakuja kwa Steve kuomba asaidiwe usemaji Yanga, mimi nlikuwa mmoja ya watu ambao tulikuwa tunaona Manara kafukuzwa kwa kuonewa Simba.
Lakini kwa kipindi hiki ambacho tumekaa naye huyu jamaa ni kunguru. Hafugiki. Kashawachonganisha watu wengi sana kwa Ghalib. Watu wananyamaza tu sababu yeye anaonekana kama ni mwandani wa Ghalib wa muda mrefu sana.
Uongozi kwa kiasi fulani ni kama unamuogopa sababu ya ukaribu wake na Ghalib.... Ila watu wanamwangalia tu jinsi anavyojishengendua kikahaba. Amefikia hatua anawaponda hata waliomsaidia.
Mimi huwa sikubaliani na Steve maana naye ni mlaji wa mdomo ila katika hili alihusika sana kumsaidia Manara ambaye tayari alikuwa ameshachanganyikiwa hasa tena baada ya Azam kumkataa. Maana yeye anasema ilikuwa Azam wamchukue lakini dakika za mwishoni wakamkataa.
Tumemsaidia sasa amekuwa chawa mpaka anapitiliza. Sisi tunamwangalia tu
Lakini kwa kipindi hiki ambacho tumekaa naye huyu jamaa ni kunguru. Hafugiki. Kashawachonganisha watu wengi sana kwa Ghalib. Watu wananyamaza tu sababu yeye anaonekana kama ni mwandani wa Ghalib wa muda mrefu sana.
Uongozi kwa kiasi fulani ni kama unamuogopa sababu ya ukaribu wake na Ghalib.... Ila watu wanamwangalia tu jinsi anavyojishengendua kikahaba. Amefikia hatua anawaponda hata waliomsaidia.
Mimi huwa sikubaliani na Steve maana naye ni mlaji wa mdomo ila katika hili alihusika sana kumsaidia Manara ambaye tayari alikuwa ameshachanganyikiwa hasa tena baada ya Azam kumkataa. Maana yeye anasema ilikuwa Azam wamchukue lakini dakika za mwishoni wakamkataa.
Tumemsaidia sasa amekuwa chawa mpaka anapitiliza. Sisi tunamwangalia tu