Habari wanabodi, nimepata na kuvutiwa na wazo la kufungua karakana na kufanya biashara ya kutoa huduma za ushonaji wa nguo.
Lakini binafsi sina ufahamu juu ya seti za vyerehani zinazohitajika na aina/chapa inayofaa kibiashara na gharama za hizo cherehani, kikubwa nilichosikia kutoka kwa watunga...
Sijakupigia kura kwa kuamini uwezo wako kuchangia maendeleo ya nchi yetu ni mdogo, unashinda uchaguzi kwa mbwembwe za unachokiita goli la mkono, unaongoza nchi kibabe, kiburi kiingi, uonevu, wapendwa wako wanafuja mali za umma hawagusiki.
CAG kaonesha madudu kwenye utandaji wako kihalali kabisa...
Salaam wanajamvi!
Tumemalizana na kibwagizo cha Taifa kuhusu NIDA na usajili wa laini za simu kwa alama za vidole bila laini hata moja kufungiwa pamoja na makelele yote na vitisho kutoka kwa wenye mamlaka.
Binafsi sijawahi kujua uhusiano mahsusi uliopo kati ya simu yangu na kitambulisho...
Mkuu ndio maana naongelea kuwekeza kwa mchina, tofauti na hivi hata nisingeanzisha uzi huu [emoji28][emoji28][emoji2357]
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh!, mill. 8+ pamoja na VAT [emoji28][emoji28], nikifika huko tayari nitakuwa napambania kumiliki kirikuu. Asante kwa taarifa hata hivyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wananzengo, ninahitaji kujua aina ya Pikipiki inayoweza kunisaidia kwenye shughuli za shamba (kwa maana ya njia ya vumbi na kubeba mizigo ya wastani kilo zisizozidi 100 (uzito wa dereva hauhusiki)), Pia nikipata bei elekezi ya Pikipiki husika itakuwa vema zaidi.
Sent using Jamii Forums...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.