young ricky
Senior Member
- Aug 24, 2018
- 161
- 164
Hii pikipiki mkuu Ni hatari sana inadumu na inanguvu Sana kwa mtu ambae ashawahi tumia anaelewa nazungumzia nn hasa cc 125.8
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii pikipiki mkuu Ni hatari sana inadumu na inanguvu Sana kwa mtu ambae ashawahi tumia anaelewa nazungumzia nn hasa cc 125.8
Habari wananzengo, ninahitaji kujua aina ya Pikipiki inayoweza kunisaidia kwenye shughuli za shamba (kwa maana ya njia ya vumbi na kubeba mizigo ya wastani kilo zisizozidi 100 (uzito wa dereva hauhusiki)), Pia nikipata bei elekezi ya Pikipiki husika itakuwa vema zaidi.
Sent using Jamii Forums mobile app
hiyo na baja ipi mashineAisee hili dude tulikua nalo la yamaha unapanda hatakwenye mawe au matofari na bado lina nesa tuu halafu la yamaha lina sauti nzuri sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ndio maana naongelea kuwekeza kwa mchina, tofauti na hivi hata nisingeanzisha uzi huuYamaha Na Hiyo Honda 110
Nimezielewa Nadhani Tatizo Umasikini
Maana Unajikuna Unapofika Huo MkonoMkuu ndio maana naongelea kuwekeza kwa mchina, tofauti na hivi hata nisingeanzisha uzi huu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli duniani lazima tutofautiane.yani hii kwako ina sauti nzuri?Aisee hili dude tulikua nalo la yamaha unapanda hatakwenye mawe au matofari na bado lina nesa tuu halafu la yamaha lina sauti nzuri sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkataba huu ila halina ulaji mzuri wa mafuta.View attachment 1325822
Hii ndio farmbike TF cc125 Suzuki. Bei yake b4 tax ni USD3190
so ipi ina sauti nzuriKweli duniani lazima tutafautiane.yani hii kwako ina sauti nzuri?
Sent using Jamii Forums mobile app
Baja kwa shambani hatajuta baada ya muda mfupi. Baja ikibebeshwa mzigo mzito ajiandae kununua ile shokapu ya kati mpaka akili imkae.Baja hutajuta
Jr
AsanteChukua Sanlg GN150 hii utadumu nayo spea zipo kibao. Kama ukipata GN 125 chukua baadae utabadili block na piston utaweka la 150.
Maana Sanlg 150 ina Hp 11 na Sanlg 125 ina Hp 9. Pikipiki hizi wametofautisha block na pistoni ukibadili utaipata sahihi.
Hii pikipiki bana ukipewa lifti kama una miguu mirefu utaipata fresh maana huwa hamna sehemu ya kukanyagiaUkipata hii kitu itakufaa sana. Kuhusu bei, kweli sijui.
View attachment 1325819
Kweli duniani lazima tutofautiane.yani hii kwako ina sauti nzuri?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii pikipiki bana ukipewa lifti kama una miguu mirefu utaipata fresh maana huwa hamna sehemu ya kukanyagia