Recent content by Nyumbani Jaw

  1. Nyumbani Jaw

    Tatizo la ajira: Sekta binafsi inatumia upepo wa "Volunteering" na "Internship"

    Kuna Consultancy Firm moja ipo Dar(Mambo ya Uhandisi) ndio mchezo wao mtu anafanya intern miaka 4 uliona wapi mshahara wenyewe laki 5 hauongezeki miaka yote hakuna cha nssf wala nini Lakini wao hela za miradi wanazopiga ni balaa, wanatumia vijana wa intern kama cheap labour
  2. Nyumbani Jaw

    Watu wenye maeneo au viwanja huwa wana maringo, nyodo na dharau

    Huo ni ulimbukeni kama unamiliki kitu ili tu watu wakusifie Hizo ni sifa za watu wenye akili finyu
  3. Nyumbani Jaw

    Naomba ushauri tafadhali

    Una Bachelor degree, una masters, una post graduate diploma lakini kujieleza vizuri huwezi
  4. Nyumbani Jaw

    Ndoto yangu ni kuja kusomea Uinjinia wa ndege

    Mshahara Sina uhakika sana lakini kazi ni ATCL au mashirika binafsi ya ndege Kwaio mshahara utakuwa mkubwa Wewe soma lakini kusota kupo vile vile
  5. Nyumbani Jaw

    Weka Profile yako hapa, muajiri akiiona akufuate PM

    Status: Internship seeker Education level: Bachelor of Science in Environmental Engineering Experience: Entry Level Location: Mwanza
  6. Nyumbani Jaw

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Siku nikipata kazi utumishi nitafanya tafrija
  7. Nyumbani Jaw

    Ndoto yangu ni kuja kusomea Uinjinia wa ndege

    Bachelor degree in Aircraft Maintenance Engineering inatolewa na National Institute of Transport kwa Tanzania Bara na Zanzibar kuna Karume Institute of Technology Kuhusu ada ni mkasi kweli hadi 6m kwa mwaka Kila la'kheri kwenye kutimiza ndoto yako
  8. Nyumbani Jaw

    Nimefaulu Kidato cha Nne kwa Division Two ya 19. Nifanye nini ili nifikie ndoto yangu?

    Vyuo vya kati wanapewa mkopo siku hizi Subiri upangiwe chuo au kama hujapangiwa uombe chuo mwenyewe then uombe mkopo
Back
Top Bottom