We jamaa wa wapi mbona hujauliza kuhusu TIA, IAA, CBE, IRDP, CDTI, IPS n.k..,,, usikariri kwamba Degree inatolewa na Chuo Kikuu...,,, Serikali kupitia TCU iliruhusu Institute zote ambazo zilikuwa zinatoa Advanced Diploma zianze kutoa Degree kutokana na idadi ya wanafunzi kuwa wengi wakati Vyuo...