Je kwa mtu ambaye haamini habari za Eva, Adam na Mungu unamsaidiaje aamini maneno yako? Maana kuna wengine ukianza hizo stori za Eva sijui Adam watakuona mwehu kabisa
Ugonjwa umejisababishia mwenyewe kwa kulala bila net ya kuzuia mbu halafu malalamiko kwa waziri wakati afya ni yako wewe mwenyewe.
Dawa za malaria dozi yake pharmacy haifiki hata elfu 10
Afya yako ni wajibu wako siyo serikali
Mimi nimetumia muda mwingi kupenda wengine na kutaka wengine wanipende mimi matokeo yake ni ujinga
Kwa sasa nawekeza nguvu zote kwenye kujipenda mwenyewe kwanza mengine baadaye.
Upo sahihi, na hiyo ndiyo mitazamo hasi tunapaswa kuiondoa vichwani kwa wanaume ili kupata jamii iliyostarabika na siyo inayowaza mwanamke kazi yake ni kuzaa na kulea watoto.
Shida nyingine hii hapa. Unaishi maisha yako kwa ku-survive halafu mwisho wa siku umeweka matarajio ya kuja kulelewa na watoto!
Mitazamo ya kizamani sana hii.
Mtoto hana wajibu wowote wa kuja kukulea wewe, ni wewe unawajibika kupanga maisha yako tangu ukiwa kijana kwamba ukizeeka utaishi...
Lengo la maisha au furaha ya maisha siyo ku-survive, ni ku-thrive
Sasa kama wewe unadhani ku-survive ni maisha, bado una safari ndefu sana ya kujikomboa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.