Recent content by Nyota yangu

  1. Nyota yangu

    Marekani inafikiria kuipunguzia vikwazo vya mafuta Iran

    Huwa ukikaa unachukulia Marekani kama vile ni Mungu. Kama vile ulikunywa maji yenye bendera ya Marekani! Nothing lasts forever, huyo Marekani asipobadilika na kuwa humble atapotea tu
  2. Nyota yangu

    PostGE2025 Vurugu za Oktoba 29 zilifanywa na wanaCCM waliopinga rais Samia kupitishwa na mstaafu Kikwete bila mkutano mkuu, sio CHADEMA

    Ukiona mtu anamsifia Magufuli basi asilimia 90 mpaka 98 ni msukuma au mtu kutoka kanda ya ziwa Magufuli huwa namkubali kwa upande wa Corona tu, mengine yote takataka tupu Kwanza kwanini kaenda kujenga Ikulu Dodoma zama hizi za WhatsApp na digitali?
  3. Nyota yangu

    Nini maana ya ndoto hii? Inaniumiza kichwa

    Upande wangu haipo hivyo ndiyo maana imeniletea mshtuko
  4. Nyota yangu

    Nini maana ya ndoto hii? Inaniumiza kichwa

    Ndiyo hiyo hali ipo, lakini Mungu ni mwema sana tayari nimepata kazi nzuri sana yenye mshahara mzuri sana ndani ya siku 3 zilizopita Naamini changamoto zangu zinaenda kubaki historia soon
  5. Nyota yangu

    Nini maana ya ndoto hii? Inaniumiza kichwa

    Sababu hasa ya wewe kuacha kushiriki tendo la ndoa ni nini? Kuwa mkweli kwa asilimia 100 naweza kukusaidia suluhisho lake haijalishi ni nini
  6. Nyota yangu

    Nini maana ya ndoto hii? Inaniumiza kichwa

    Mkuu, nina miaka zaidi ya 40 sasa na watoto 7
  7. Nyota yangu

    Nini maana ya ndoto hii? Inaniumiza kichwa

    Miaka miwili ni hatari mkuu
  8. Nyota yangu

    Nini maana ya ndoto hii? Inaniumiza kichwa

    Sivaagi boksa wala chupi, ni suruali tu na nikilala nalala uchi na shuka tu
  9. Nyota yangu

    Nini maana ya ndoto hii? Inaniumiza kichwa

    Mkuu nimesema mara nyingi sipo bize na mapenzi na wala hii hainitokei mara kwa mara. Mara ya mwisho iliponitokea kabla hii ya juzi sikumbuki (pengine hata miezi 6 au mwaka umepita). Sasa hapo unapataje hiyo conclusion yako?
  10. Nyota yangu

    Nini maana ya ndoto hii? Inaniumiza kichwa

    Ukiwa usingizini Unawezaje kukataa? Unajikuta tu umefanya kwa furaha zote, ukishituka ndiyo unagundua kumbe ilikuwa ndoto tu
  11. Nyota yangu

    Nini maana ya ndoto hii? Inaniumiza kichwa

    Ndiyo niliendelea kushiriki kama kawaida. Nina kama miaka 20 au hata zaidi naishi na mke na kawaida haiwezi kupita siku 14 sijashiriki labda pale mke wangu akiwa anakaribia sana kupata mtoto mwezi mmoja kabla na siku 30 au 40 baada ya kujifungua Na ikitokea nimekaa muda mrefu bila kushiriki...
  12. Nyota yangu

    Nini maana ya ndoto hii? Inaniumiza kichwa

    Kupaa niliambiwa ni ishara ya kuwashinda adui zako wote. Ilikuwa Inanitokea sana zamani
  13. Nyota yangu

    Nini maana ya ndoto hii? Inaniumiza kichwa

    Nashukuru kwa muda wako mkuu Kitu pekee namuomba Mungu mara nyingi ni nipate utajiri na mimi niishi ndoto zangu na maisha yangu kama nitakavyo. Ingawa mimi siyo maskini sana (naishi kwangu na chakula siyo shida) ila naziona fursa nyingi bila idadi tatizo mara zote ni mtaji. Kuna mtu mtaani...
  14. Nyota yangu

    Nini maana ya ndoto hii? Inaniumiza kichwa

    Zamani kama mwaka mmoja au miwili hivi ilikuwa Inanitokea mara kwa mara baadaye hii hali ikaacha mpaka nilisahau, juzi sasa ndiyo imenitokea tena Hii hali kama ikinitokea nikiwa sijashiriki tendo la ndoa muda mrefu labda wiki 2 au wiki 4 hivi ikinitokea huwa hainipi shida yoyote sababu najua...
Back
Top Bottom