Recent content by Nyota yangu

  1. Nyota yangu

    JamiiForums Tanzania Wanaume, utapata mke anaye reflect jinsi ulivyo

    It's not always the case, sometimes things just happen.
  2. Nyota yangu

    JamiiForums Tanzania Ukisikia kauli hizi, jua umekwishakufa, bado kuzikwa tu

    Ndiyo upo sahihi kabisa
  3. Nyota yangu

    JamiiForums Tanzania Mke wangu hana hamu ya kufanya mapenzi na mimi. Nifanyeje?

    Si uoe mwingine tu?
  4. Nyota yangu

    JamiiForums Tanzania Wanaume leo nawapa ukweli mchungu: Hakuna mwanamke asiye na mchepuko

    Je kwa mtu ambaye haamini habari za Eva, Adam na Mungu unamsaidiaje aamini maneno yako? Maana kuna wengine ukianza hizo stori za Eva sijui Adam watakuona mwehu kabisa
  5. Nyota yangu

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Responded Waziri Mchengerwa fuatilia kifo cha mgonjwa huyu Hospitali ya Ngamiani – Tanga, kuna dalili za uzembe

    Ugonjwa umejisababishia mwenyewe kwa kulala bila net ya kuzuia mbu halafu malalamiko kwa waziri wakati afya ni yako wewe mwenyewe. Dawa za malaria dozi yake pharmacy haifiki hata elfu 10 Afya yako ni wajibu wako siyo serikali
  6. Nyota yangu

    JamiiForums Tanzania Do you believe in love? ❤️

    Mimi nimetumia muda mwingi kupenda wengine na kutaka wengine wanipende mimi matokeo yake ni ujinga Kwa sasa nawekeza nguvu zote kwenye kujipenda mwenyewe kwanza mengine baadaye.
  7. Nyota yangu

    JamiiForums Tanzania Mwanamke msomi kuwa mama wa nyumbani ni hasara kwa Wazazi na nchi iloyomsomesha?

    Upo sahihi, na hiyo ndiyo mitazamo hasi tunapaswa kuiondoa vichwani kwa wanaume ili kupata jamii iliyostarabika na siyo inayowaza mwanamke kazi yake ni kuzaa na kulea watoto.
  8. Nyota yangu

    JamiiForums Tanzania Mwanamke msomi kuwa mama wa nyumbani ni hasara kwa Wazazi na nchi iloyomsomesha?

    Sasa kama uwezo wako wa kufahamu kuhusu maisha umeishia hapo mimi nitakusaidia nini zaidi? Endelea kuishi ukitegetemea kuja kulelewa na watoto
  9. Nyota yangu

    JamiiForums Tanzania Mwanamke msomi kuwa mama wa nyumbani ni hasara kwa Wazazi na nchi iloyomsomesha?

    Huhitaji Kum-control mtu yoyote. Ji-control mwenyewe wacha wengine waishi maisha wanayotaka wao
  10. Nyota yangu

    JamiiForums Tanzania Mwanamke msomi kuwa mama wa nyumbani ni hasara kwa Wazazi na nchi iloyomsomesha?

    Ume Control ya nini tena? Hayo ni mambo ya kizamani. Badala ya kuenjoy maisha wewe unawaza Kum-control mkeo! Kazi kweli kweli
  11. Nyota yangu

    JamiiForums Tanzania Mwanamke msomi kuwa mama wa nyumbani ni hasara kwa Wazazi na nchi iloyomsomesha?

    Wengi sana humu ndiyo maana niliacha kufuatilia mijadala ya humu
  12. Nyota yangu

    JamiiForums Tanzania Mwanamke msomi kuwa mama wa nyumbani ni hasara kwa Wazazi na nchi iloyomsomesha?

    Atatoa wapi hoja na marasta hayo kichwani kwake? Msamehe tu bure
  13. Nyota yangu

    JamiiForums Tanzania Mwanamke msomi kuwa mama wa nyumbani ni hasara kwa Wazazi na nchi iloyomsomesha?

    Shida nyingine hii hapa. Unaishi maisha yako kwa ku-survive halafu mwisho wa siku umeweka matarajio ya kuja kulelewa na watoto! Mitazamo ya kizamani sana hii. Mtoto hana wajibu wowote wa kuja kukulea wewe, ni wewe unawajibika kupanga maisha yako tangu ukiwa kijana kwamba ukizeeka utaishi...
  14. Nyota yangu

    JamiiForums Tanzania Mwanamke msomi kuwa mama wa nyumbani ni hasara kwa Wazazi na nchi iloyomsomesha?

    Lengo la maisha au furaha ya maisha siyo ku-survive, ni ku-thrive Sasa kama wewe unadhani ku-survive ni maisha, bado una safari ndefu sana ya kujikomboa
Back
Top Bottom