Huwa ukikaa unachukulia Marekani kama vile ni Mungu. Kama vile ulikunywa maji yenye bendera ya Marekani!
Nothing lasts forever, huyo Marekani asipobadilika na kuwa humble atapotea tu
Ukiona mtu anamsifia Magufuli basi asilimia 90 mpaka 98 ni msukuma au mtu kutoka kanda ya ziwa
Magufuli huwa namkubali kwa upande wa Corona tu, mengine yote takataka tupu
Kwanza kwanini kaenda kujenga Ikulu Dodoma zama hizi za WhatsApp na digitali?
Ndiyo hiyo hali ipo, lakini Mungu ni mwema sana tayari nimepata kazi nzuri sana yenye mshahara mzuri sana ndani ya siku 3 zilizopita Naamini changamoto zangu zinaenda kubaki historia soon
Mkuu nimesema mara nyingi sipo bize na mapenzi na wala hii hainitokei mara kwa mara. Mara ya mwisho iliponitokea kabla hii ya juzi sikumbuki (pengine hata miezi 6 au mwaka umepita).
Sasa hapo unapataje hiyo conclusion yako?
Ndiyo niliendelea kushiriki kama kawaida. Nina kama miaka 20 au hata zaidi naishi na mke na kawaida haiwezi kupita siku 14 sijashiriki labda pale mke wangu akiwa anakaribia sana kupata mtoto mwezi mmoja kabla na siku 30 au 40 baada ya kujifungua
Na ikitokea nimekaa muda mrefu bila kushiriki...
Nashukuru kwa muda wako mkuu
Kitu pekee namuomba Mungu mara nyingi ni nipate utajiri na mimi niishi ndoto zangu na maisha yangu kama nitakavyo.
Ingawa mimi siyo maskini sana (naishi kwangu na chakula siyo shida) ila naziona fursa nyingi bila idadi tatizo mara zote ni mtaji.
Kuna mtu mtaani...
Zamani kama mwaka mmoja au miwili hivi ilikuwa Inanitokea mara kwa mara baadaye hii hali ikaacha mpaka nilisahau, juzi sasa ndiyo imenitokea tena
Hii hali kama ikinitokea nikiwa sijashiriki tendo la ndoa muda mrefu labda wiki 2 au wiki 4 hivi ikinitokea huwa hainipi shida yoyote sababu najua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.