Gharama n normal sana tofaut na wa2 wanavopachukulia kwan kama chakula unapata cha buku cha kutosha na kwa cku unaweza kutumia c zaid ya bk 5 kama unajitambua lakin kwangu kile chuo n best
Ucmtishe bhana gharama n za kawaida sana na mm nimesoma pale na n mtoto wa mkulima labda akienda acopy lyf LA wa2 wa pale patamshnda bt kwa elimu kwangu n best of d best
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.