Recent content by Nyominyomi

  1. N

    Startimes Tanzania: Support thread (maswali, maoni na ushauri)

    StarTimes Tanzania sio kweli hiyo chanel haipo mmeitoa
  2. N

    Startimes Tanzania: Support thread (maswali, maoni na ushauri)

    Baby tv mmetoa na cbeebies zilikuwepo mkazitoa
  3. N

    Startimes Tanzania: Support thread (maswali, maoni na ushauri)

    StarTimes Tanzania kwa nini mnatoa chanels kila nikinunua kifurushi? Nimenunua cha 21000 mmetoa chanel za watoto kwa nini?
  4. N

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Kafilisika kama rangi ya ugoro
  5. N

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Wajenzi wengi ni wasomi
  6. N

    Nimeangusha pesa ya rambirambi 300,000/= cash mchana huu

    Kwanza nimecheka ila sio kwa uzuri nimewaza kwa usawa huu hiyo laki 3 ningeipata wapi mie. Pili. Pole kiongozi ndo maisha lazima ulipe hamna namna
  7. N

    Mwanamke wapimwe akili kabla ya kupewa mtoto baada ya kujifungua

    Kichaa cha uzazi kipo na wanasema mama akijifungua ndani ya siku 42 anaweza pata so ni vyema kupimwa Nb. Mimi sio daktari teh
  8. N

    Jenerali Ulimwengu: Hakukuwa na Uchaguzi huru na haki

    Hii inaitwa funika kombe mwana haramu apite
  9. N

    Boss nisamehe mimi mtoto wa kike

    Bora tu uache kazi aiseee
Back
Top Bottom