Recent content by nyoka in

  1. nyoka in

    JamiiForums Tanzania Wahouthi wazamisha meli ya pili ya mizigo Bahari ya Shamu ndani ya wiki moja

    Mmh! We jamaa ibisa bageni mbona Kama napajua! Hata wewe nitakuwa nakufahamu pia coz nmeishi huko hahah!
  2. nyoka in

    JamiiForums Tanzania Yesu ni fumbo tata, Leo tunalifunua

    Maandiko yote yaliyo nje ya biblia, dhima yake kuu haileti msisimko wa mioyo na Wala haikati kiu ya uhitaji wa uelewa juu ya chanzo na hatma ya mwanadamu. Hili linanifanya kuamini Yale maneno yanayodai kwamba, kutakuwa na mfumuko wa biblia kutoka kuzimu ambazo zitapingana na neno la kweli ili...
  3. nyoka in

    JamiiForums Tanzania Geita iwe Kanda maalum ya Kipolisi kama ilivyo Dar es salaam na Mara

    Hahaha ndio nchini geita.
  4. nyoka in

    JamiiForums Tanzania Geita iwe Kanda maalum ya Kipolisi kama ilivyo Dar es salaam na Mara

    Nimekaa mwanza 17 yrs. Kuna kipindi nilikuwa najiuliza, hivi Kuna mkoa unafikia hata robo ya ukatili hapa Tanzania? Shida ya mikoa ile Ni Kama wanakautawala kao na maamuzi yao ambayo kimsingi mengi hayaakisi sheria za nchi. Kuna nzengo hizo kwenye jamii mtu akikosea anapigwa faini ya ng'ombe au...
  5. nyoka in

    JamiiForums Tanzania Hizi ni sababu nzito za kwanini Askofu Gwajima anatakiwa kufukuzwa na kufutwa uanachama wa CCM haraka sana

    Kuna haja ya wanachama wote wa upinzani kuchukua kadi za chama tawala ili kupinzana ndani ya chama hicho kwa mabadiliko.
  6. nyoka in

    JamiiForums Tanzania Katuni ya Kipanya leo jumanne, umeielewaje? Tushirikishe

    Kaburi Ni uchaguzi ambao unataka kuzimwa na mafuriko ya no reform no election lkn bwana mkubwa kavua shati kutoa maji huku akicheka na kuona mafuriko Ni Jambo dogo ambalo haliwezi kuzuia kuzika japo maji bado yanaendelea kuingia kila anapoyatoa.
  7. nyoka in

    JamiiForums Tanzania Video yafichua IDF kuua kwa makusudi watu wa Msaada : Bado tuendelee kuamini taarifa za Israel (IDF) kwa uongo wao uliofichuliwa ?

    Vita sio mzuri lkn wakati mwingine Bora wapigwe tu wamezidi ujinga
  8. nyoka in

    JamiiForums Tanzania Uchambuzi : Marekani na Israel inakuza na kulea Ugaidi na Magaidi

    Hahaha sawa
  9. nyoka in

    JamiiForums Tanzania Uchambuzi : Marekani na Israel inakuza na kulea Ugaidi na Magaidi

    Hata urus
  10. nyoka in

    JamiiForums Tanzania Uchambuzi : Marekani na Israel inakuza na kulea Ugaidi na Magaidi

    Wanagopa wakimpiga Iran watasababisha maafa zaidi coz Iran pia inawashirika wake. So inaweza kuwa Vita ya dunia bila kutegemea ndo sababu wanampiga Iran kwa kudokoa dokoa.
  11. nyoka in

    JamiiForums Tanzania Mkasa katika nyumba ya majini

    Hahaha hi story imenikumbusha kipindi flani nikiwa safari nikakorofishana na konda kabla ya wote wasafiri kulala Gest kusubiri mwendelezo wa safari asubuhi. Sasa ile gesti kulikuwa na shughuli zinaendelea usiku kucha pale uani ambako na Mimi chumba nilipolala. Nilianza kwanza kusikia mtu...
Back
Top Bottom