Kuna ukweli wowote kuhusu ufanyaji kazi sahihi wa hizi applications za kusave power kwenye simu???? Kama zipo ni zipi kama kuna mtu anajua ufanyaji kazi wake
Me nadhani kutokana na tabia yake ya urealist ambayo ni nchi nyingi zenye uwezo zina tabia kama hizo. Ila marekani ni too much. He is greedy, uncouth in nature, selfish and vita kwake ndio suruhisho la kupata interests zake. Lisemwalo lipooo kwanini ulaumiwe wewe katika kila kituuu???
Kufanya jambo bila kuathiri mambo mengine haswa kimatokeo mabaya hicho ndicho tunacho kiihitaji. Sio unajenga mall alafu unashindwa kuwalipa wakazi waliokuwa wakiishi hapo that will be nonesence
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.