Wasabato sio kwamba wanatumia vitabu vya Mama Ellen White Kama mbadala wa biblia, bali vinatumika kama vitabu vya ziada kutoa uelewa wa mambo yaliyo kwenye biblia. Ni sawa na mwalimu wa phyisics kuandaa notes kwa lugha rahisi toka kwenye abbot. Then wasabato wanawake wapo wanaopanda mimbarani na...
Sasa hivi napita hapa kimara kuelekea Mbezi jinsi nyumba zilivyobomolewa hadi nataka kutokwa na machozi. Mungu anakuona mkulu wa nchi
Sent using Jamii Forums mobile app
Upenzi wa chama cha mkulu huziba akili za wafuasi wake, mnashindwa kabisa kujua wapinzani kazi yao ni nini? Kazi ya mpinzani moja wapo ni kuikosoa serikali inapokosea. Kosa la Tundu Lisu lipo wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe mkali. Hata ungekuwa na PhD huwezi kupewa u profesor kwa research moja. Then kuna kitu kinaitwa academic writting skills ambazo mtu kuzimeza na kuweza kuzitumia kikamilifu unahitaji kufanya kazi nyingi za kitaaluma. Kikwete ile ni PhD ya heshima,
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ya madiwani wa chadema kuachia ngazi nashindwa kuielewa kabisa. Hivi kumuunga mkono rais ni lazima uache kazi uliyopewa ya kuwatumikia wananchi? Kwanini wasimuunge mkono kwakusimamia vizuri maendeleo ya vijiji na mitaa yao vizuri? Kwani kujiuzuru ni kuiingiza serikali kwenye gharama za...
Hakika vijana wamelemazwa na mtaala huu wa advance ambao hauna Syntax. Naunga mkono hoja, Ndalichako aweke mzigo wa Syntax mezani
Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.