Pole sana Mzee.., labda alichoka kuwa Hawala Sugu, na kila akikucheki kwenye side Mirror anaona huna dalili za kusimama, akaona ajioengeze..,
By then kama unamuhitaji arudi kwako fuata taratibu za Kumrasimisha ili awe Mke kihalali nakuahidi atarudi na heshima itakuwepo ya kutosha!!!