Recent content by nyemenowa tindamanyile

  1. nyemenowa tindamanyile

    Ufugaji bata bukini na kanga

    Naanza ujasiliamali kwa kutakq kufuga hao KANGA, BATA BUKINI kwa ajili ya kitoeo na kuuza. Naomba kufahamishwa miiko na mengineyovkuh viumbe hao
  2. nyemenowa tindamanyile

    DOKEZO Nimekata tiketi VIP basi la Happy Nation, lakini halina huduma hadhi ya VIP. Naweza kulalamika wapi?

    Nimepanda Happy Nation( BUSINESS CLASS) la saa 10:00 kutoka Bukoba to Dsm kwa NAULI ya 120,000/. Hilo basi halina AC na pia CHOO chake haki flush tunalazimishwa kuchimba dawa kwa KUJILIPIA hiyo huduma. Konda hana jibu la malalamiko yetu yote, likiwemo la kurudishiwa nauli inayobebwa na hiyo...
  3. nyemenowa tindamanyile

    Ni video zipi za muziki zinawafaa watoto?

    Nashukuru. Nataka zisizo za dini maana ninazo krb 280 nataka za jamii zinazipendwa na kuwafaa, mf wa KWI KWI -Zuchu
  4. nyemenowa tindamanyile

    Ni video zipi za muziki zinawafaa watoto?

    Music vedeo nyingi zina mambo hayafai kuyaonyesha/kuyatazama na vijana(under 15)/ watoto wako. NAOMBA list ya zilizo na NAFUU au kwa ANGALAU.
  5. nyemenowa tindamanyile

    Ni video zipi za muziki zinawafaa watoto?

    Habari? Nijuzeni miziki ya video inayofaa kuingalia na watoto/vijana wetu under 15. .mf ya Achi wa Diamond na Koffie. Nataka kuandaa playlist/folder la kwao tu, si mnazijua vedeo zetu zllivyo na BALAA.
  6. nyemenowa tindamanyile

    Wali kupika kwa gesi, unaweza kukausha?

    Nikukumbushe tu. Utatumia gharama kubwa ili ule chakula kisicho salama kwa afia yako. . WANGA ulio kwenye wali ni sumu. Badili muelekeo, achana na hilo jiko ilo wali usikunogee sana hamia kwenye vyakula mizizi na dona. Utanishukuru uzeeni.
  7. nyemenowa tindamanyile

    Wali kupika kwa gesi, unaweza kukausha?

    Wana jamii naomba maujuzi ya kupika wali kwa gesi hadi kuukausha kwake.
  8. nyemenowa tindamanyile

    Mkoa gani Tanzania linalimwa zao la Almonds?

    Habari. Mkoa gani Tz linalimwa zao la Almonds? Mie ni mtumiaji sana wazo kama dawa ila natatizwa na uaghali(bei) kwa hapa Dsm.
  9. nyemenowa tindamanyile

    TV yangu (TCL) ilipata hitilafu ya kioo kupata wingu linalokera

    Tv ilipata hitilafu ya kioo (ona picha) kupata wingu linalokera japo picha na sauti vinapatikana Mafundi, je lina utatuzi?
  10. nyemenowa tindamanyile

    Tatizo kwenye TV aina ya TCL

    Tv yangu ilipata dhoruba ya kwenye kioo kweka hili wingu japo picha zinaonekana ila ni kero. Kwa mafundi naomba kujua kama linatengenezeka.
  11. nyemenowa tindamanyile

    Nauza Benzi, Ml 320

    Utaipata via WhatsApp
  12. nyemenowa tindamanyile

    Nauza Benzi, Ml 320

    Nitafute kwa namba
  13. nyemenowa tindamanyile

    Nauza Benzi, Ml 320

    Mie sijatuma picha. Ntatuma j3
  14. nyemenowa tindamanyile

    Nauza Benzi, Ml 320

    Naitumia muda wote.
  15. nyemenowa tindamanyile

    Nauza Benzi, Ml 320

    Nina hiyo Benzi, ipo vizuri ndio inakaribia klm 125,000 na haijapoteza mfumo wake wa fuel consumption. Kwa anayehitaji kununua na hata kubadilishana tuwasiliane 0629478005
Back
Top Bottom