Recent content by NYEHUNGE

  1. NYEHUNGE

    GE2020 Shigongo ajiachia kunywa pombe na Wazee wa Buchosa

    Acha kujifanya mtabiri wa Taifa.
  2. NYEHUNGE

    GE2020 Yaliyojiri sehemu mbalimbali Tanzania katika zoezi la upigaji kura za Rais - Oktoba 28, 2020

    Mbona anaanza kulia lia mapema hivi huyu kamanda maandazi
  3. NYEHUNGE

    TANZIA Mtangazaji wa Radio One na ITV, Agnes Almasi afariki dunia

    Dah...!! Ni kweli " Usijisifu kwa ajili ya kesho maana haujui yatakayozaliwa ndani ya usiku mmoja". Nilikua namkubali sana huyu binti. R. I.P
  4. NYEHUNGE

    GE2020 Kwanini Magufuli anakubalika Kanda ya Ziwa tu

    Hatuwezi kumu-let down homeboy.
  5. NYEHUNGE

    CHADEMA/ACT-Wazalendo mkikubali zoezi hili la kuenguliwa lifanikiwe hamna sababu za kuaminiwa tena

    Hakuna mwenye ubavu wa kuingia barabarani, mtabaki kubweka tu mitandaoni kama hivi.
  6. NYEHUNGE

    GE2020 Nilikuwepo kwenye mkutano, sijapenda kuchangishwa fedha kinguvu

    Aisee usimlinganishe Hillary Clinton na huu utopolo wenu.
  7. NYEHUNGE

    Tangazo kwa vijana kujiunga na mafunzo ya JKT kwa kujitolea mwaka 2020

    Kila la kheri vijana wazalendo watakaochaguliwa. Wacha wakajaribu bahati zao japo maumivu ya kutoboa mkataba ni balaa jingine.
  8. NYEHUNGE

    GE2020 Hotuba za kampeni za Lissu, naomba sana ziwe na yafuatayo

    Ila kuna watu mna vichwa vigumu sana aisee, ivi kweli mpo serious kudhani kwamba Magufuli atashindwa katika uchaguzi wa mwaka huu.? Au mnachangamsha kijiwe tu.? Jaribuni kutembea kidogo huku vijijini muone watu walivyo na hamu ya 28 Oct kwenda kumpa kura nyingi sana Magufuli kwa makubwa...
  9. NYEHUNGE

    Nini dawa ya kujiamini bila hata kutumia kilevi?

    Tafuta hela za kutosha, confidence itakuja tu automatic.
  10. NYEHUNGE

    BUCHOSA: Jimbo lenye fursa za utajiri lakini...

    Sijui unaongelea Buchosa ya mwaka gani. Maana yote uliyoandika halipo hata moja
Back
Top Bottom