Kuna mameya wa majiji,manispaa na wenyeviti wa halmashauri labda hawa wapewe power maana wao wanatokana na eneo husika na pia wetokana na wananchi,lakini kwa RC's na DC'S ni wawakilishi wa Rais katika eneo husika yeye ndiye anaelewa flani anaweza kuniwakikisha sehemu flani vizuri,ukisema uteuwe...
Yeyote watakayeona anafaa wananchi hatuna budi kukubaliana na maamuzi yao maana wao wanawafahamu viongozi wa juu kuliko sisi wananchi wa kawaida, ngoja tusubiri tuone busara zao tuliowapa mamlaka hiyo.
Nitamkumbuka Rais Magufuli kwa,misimamo yake hisiyoyumbishwa,ujasiri,uthubutu,maamuzi,kusimamia anachokiamini hata kama kitakuwa na madhara,ukweli na uwazi hata kama utaumiza lakini yeye kauongea au kuusema hata kama utakwaza watu ila yeye umemweka huru kwangu mimi ni hayo na ndiyo niliyompendea...
Rais na Makamo wa rais ni ofisi mbili tofauti na hawana ukaribu sana ndiyo maana nadhani katiba yetu imekaa ivyo maana katibu mkuu kiongozi anaukaribu sana na rais kuliko Makamo wa Rais
Mkuu si uhamie Chato kama miradi inaenda huko sana hili ukanufaike pia maana yote ni Tanzania na una uhuru wa kwenda popote pale ndani ya mipaka ya nchi yetu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.