Nitamkumbuka Rais Magufuli kwa,misimamo yake hisiyoyumbishwa,ujasiri,uthubutu,maamuzi,kusimamia anachokiamini hata kama kitakuwa na madhara,ukweli na uwazi hata kama utaumiza lakini yeye kauongea au kuusema hata kama utakwaza watu ila yeye umemweka huru kwangu mimi ni hayo na ndiyo niliyompendea...