Je, Paul Makonda anatosha kurithi kiti cha Dkt. Bashiru CCM?

wewe upo wizara gani mkuu?
Najua wapinzani hawatafurahia swali hili lakini chini ya jua lolote linawezekana.

Nawaona komredi Polepole na ndugu Makonda wakipiga jalamba kurithi mikoba ya Dr Bashiru aliyehamia Ikulu kama Katibu mkuu kiongozi.

Kwa mbali namuona Dkt. Mwigullu Nchemba naye anatroti.

Ufipa kaeni chonjo msiyempenda anaweza kuja.

Maendeleo hayana vyama!
 
Najua wapinzani hawatafurahia swali hili lakini chini ya jua lolote linawezekana.

Nawaona komredi Polepole na ndugu Makonda wakipiga jalamba kurithi mikoba ya Dr Bashiru aliyehamia Ikulu kama Katibu mkuu kiongozi.

Kwa mbali namuona Dkt. Mwigullu Nchemba naye anatroti.

Ufipa kaeni chonjo msiyempenda anaweza kuja.

Maendeleo hayana vyama!
Magufuli anajutia kwa nini alifikia kumwamini Makonda kiasi kile. Bashiru ndiye alikuwa mtu wa kwanza kutamka kidiplomasia kuwa Makonda na Chalamila, hawafai kuwa viongozi. Na sasa Bashiru ndiye mshauri na msaidizi mkuu wa Rais.

Makonda asifikirie uongozi, ajiajiri tu.
 
Mtu anaacha kuongoza watu zaidi ya milioni sita anaenda gombea kuongoza watu milioni moja unamuona timamu hiyo?
 
Najua wapinzani hawatafurahia swali hili lakini chini ya jua lolote linawezekana.

Nawaona komredi Polepole na ndugu Makonda wakipiga jalamba kurithi mikoba ya Dr Bashiru aliyehamia Ikulu kama Katibu mkuu kiongozi.

Kwa mbali namuona Dkt. Mwigullu Nchemba naye anatroti.

Ufipa kaeni chonjo msiyempenda anaweza kuja.

Maendeleo hayana vyama!
Covid ongeza speed plz plz nasema ongeza speed tunazurumiwa huku wanyonge
 
Najua wapinzani hawatafurahia swali hili lakini chini ya jua lolote linawezekana.

Nawaona komredi Polepole na ndugu Makonda wakipiga jalamba kurithi mikoba ya Dr Bashiru aliyehamia Ikulu kama Katibu mkuu kiongozi.

Kwa mbali namuona Dkt. Mwigullu Nchemba naye anatroti.

Ufipa kaeni chonjo msiyempenda anaweza kuja.

Maendeleo hayana vyama!
.....anapenda "wasomi"......
 
Dah
Watu wabaya
Screenshot_20210219-215847.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Najua wapinzani hawatafurahia swali hili lakini chini ya jua lolote linawezekana.

Nawaona komredi Polepole na ndugu Makonda wakipiga jalamba kurithi mikoba ya Dr Bashiru aliyehamia Ikulu kama Katibu mkuu kiongozi.

Kwa mbali namuona Dkt. Mwigullu Nchemba naye anatroti.

Ufipa kaeni chonjo msiyempenda anaweza kuja.

Maendeleo hayana vyama!
Atakuwa Makonda kakutuma
 
Najua wapinzani hawatafurahia swali hili lakini chini ya jua lolote linawezekana.

Nawaona komredi Polepole na ndugu Makonda wakipiga jalamba kurithi mikoba ya Dr Bashiru aliyehamia Ikulu kama Katibu mkuu kiongozi.

Kwa mbali namuona Dkt. Mwigullu Nchemba naye anatroti.

Ufipa kaeni chonjo msiyempenda anaweza kuja.

Maendeleo hayana vyama!
Kama anajua kusoma na kuandika anatosha
 
Raia asiye na Kazi.Nyota yake imekufa kibudu huyo alishanyea mkono umpao riziki kwisha habari yake
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom