Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Najua wapinzani hawatafurahia swali hili lakini chini ya jua lolote linawezekana.
Nawaona komredi Polepole na ndugu Makonda wakipiga jalamba kurithi mikoba ya Dr Bashiru aliyehamia Ikulu kama Katibu mkuu kiongozi.
Kwa mbali namuona Dkt. Mwigullu Nchemba naye anatroti.
Ufipa kaeni chonjo msiyempenda anaweza kuja.
Maendeleo hayana vyama!
Magufuli anajutia kwa nini alifikia kumwamini Makonda kiasi kile. Bashiru ndiye alikuwa mtu wa kwanza kutamka kidiplomasia kuwa Makonda na Chalamila, hawafai kuwa viongozi. Na sasa Bashiru ndiye mshauri na msaidizi mkuu wa Rais.Najua wapinzani hawatafurahia swali hili lakini chini ya jua lolote linawezekana.
Nawaona komredi Polepole na ndugu Makonda wakipiga jalamba kurithi mikoba ya Dr Bashiru aliyehamia Ikulu kama Katibu mkuu kiongozi.
Kwa mbali namuona Dkt. Mwigullu Nchemba naye anatroti.
Ufipa kaeni chonjo msiyempenda anaweza kuja.
Maendeleo hayana vyama!
Nawaona komredi Polepole na ndugu Makonda wakipiga jalamba kurithi mikoba ya Dr Bashiru aliyehamia Ikulu kama Katibu mkuu kiongozi.
Covid ongeza speed plz plz nasema ongeza speed tunazurumiwa huku wanyongeNajua wapinzani hawatafurahia swali hili lakini chini ya jua lolote linawezekana.
Nawaona komredi Polepole na ndugu Makonda wakipiga jalamba kurithi mikoba ya Dr Bashiru aliyehamia Ikulu kama Katibu mkuu kiongozi.
Kwa mbali namuona Dkt. Mwigullu Nchemba naye anatroti.
Ufipa kaeni chonjo msiyempenda anaweza kuja.
Maendeleo hayana vyama!
.....anapenda "wasomi"......Najua wapinzani hawatafurahia swali hili lakini chini ya jua lolote linawezekana.
Nawaona komredi Polepole na ndugu Makonda wakipiga jalamba kurithi mikoba ya Dr Bashiru aliyehamia Ikulu kama Katibu mkuu kiongozi.
Kwa mbali namuona Dkt. Mwigullu Nchemba naye anatroti.
Ufipa kaeni chonjo msiyempenda anaweza kuja.
Maendeleo hayana vyama!
Atakuwa Makonda kakutumaNajua wapinzani hawatafurahia swali hili lakini chini ya jua lolote linawezekana.
Nawaona komredi Polepole na ndugu Makonda wakipiga jalamba kurithi mikoba ya Dr Bashiru aliyehamia Ikulu kama Katibu mkuu kiongozi.
Kwa mbali namuona Dkt. Mwigullu Nchemba naye anatroti.
Ufipa kaeni chonjo msiyempenda anaweza kuja.
Maendeleo hayana vyama!
Kama anajua kusoma na kuandika anatoshaNajua wapinzani hawatafurahia swali hili lakini chini ya jua lolote linawezekana.
Nawaona komredi Polepole na ndugu Makonda wakipiga jalamba kurithi mikoba ya Dr Bashiru aliyehamia Ikulu kama Katibu mkuu kiongozi.
Kwa mbali namuona Dkt. Mwigullu Nchemba naye anatroti.
Ufipa kaeni chonjo msiyempenda anaweza kuja.
Maendeleo hayana vyama!
Sio mwanachamaChadema hata jero jero mmeshafeli maana mlipaji wa chama kwa sasa ni Halima James Mdee!