Recent content by nyawara

  1. nyawara

    Kuombewa na mtumishi wa Mungu GeorDavie ni laki moja kwa kila mtu

    Kwani lazima uende kuombewa?shida ya watanzania tunapenda mno kuombewa,inatupasa kupeleka maombi yetu kwa MUngu moja kwa moja ndo maana ya pazia kupasuka Siku ile ya ijumaa kuu
  2. nyawara

    Natafuta mganga wa kienyeji nguli Bagamoyo

    Bashite anawajua vizuri,muulize
  3. nyawara

    Mkuu wa Mkoa Iringa anusurika kifo wakati akifanya mazoezi asubuhi

    Nyie watoa maoni hebu muwe mnasoma msgs,walikuwa wanaenda uwanja wa samora,hivyo walikuwa njiani
  4. nyawara

    CHADEMA Pwani kujenga ghorofa ofisi za mkoa

    Subutu makao makuu yenyewe wamepanga
  5. nyawara

    Nani aliidangaya CHADEMA?

    Tatizo la humu wengi wao ni mashabiki wa siasa na hawaijui siasa,eti mabadiliko
  6. nyawara

    Lowassa Amejimaliza Mwenyewe kwa kuwa na Kigeugeu

    Hatufai mfa maji lowassa,eti hataki umaskini.kashinda kuondoa umaskini monduli ndo aje aondoe tz nzima,hivi mmelogwa?
  7. nyawara

    Yaliyojiri: Mkutano wa Mgombea wa CCM, Dr. Magufuli jimboni Kahama - Septemba 25, 2015

    Na bado subirini aapishwe mtafyata mikia yenu
  8. nyawara

    Kampeni huru za UKAWA 25,September - 25,October

    Mpuuzi ww peleka matangazo ya vifo redio tanzania
  9. nyawara

    Msigwa ana hali ngumu jimboni; Alalamika Mwakalebela anamroga

    Matusi ya nn,tetea hoja tu,matusi peleka kwenu
  10. nyawara

    Sumaye: CCM kama kuna hirizi zenu Ikulu, mzitoe mapema

    Mwambie aliyekutuma akazitoe maana anajua alipoziweka yy
  11. nyawara

    CCM imekufa, amebaki Magufuli

    Na ww je hujakufa?
  12. nyawara

    Hakika,Lowassa alikuwa nguzo CCM

    Unashida wewe nguzo ni kwako
  13. nyawara

    CCM imehalalisha ukabila? Magufuli anahutubia kilugha

    Ukabila?si bora yy na don king we anaehubiri udini na ukaskazini?kwenda kalale
Back
Top Bottom