Hakika,Lowassa alikuwa nguzo CCM

Hakika,Lowassa alikuwa nguzo CCM

Lowasa ndiyo alikuwa fisadi nadani ya ccm pamoja na wenzake aliotoka nao kwenda kwa majambazi wenzake.

Jambazi unalo Ikulu unamdanganya nani asiyelijua hilo. Na ndiye kawaharibia kumweka pombe ili ashikilie remote. 25 OCTOBER DELETE CCM
 
Wana macho wanajifanya hawaoni,ni maskini wanajifanya matajiri, waasisi wa ufisadi wanajifanya waadilifu,wanaua

tembo wanajifanya hawajui muuaji.Maadam wamejaliwa kutambua nyakati na majira bila shaka wameshatambua

nyakati hizi siyo za kipindi kile :A S 41:


Kwisha habari yake akafanye kazi zake za ufisadi tu.
 
Lowasa hakuwa mjinga kuhama ili aje ahaibike baadae... alicheza namba na kuona zinalala upande wake na hivyo yeye ndio atakuwa winner.. na hilo ndilo sababu aliondoka CCM... yeye pekee ni brand tosha
 
Ni mpango wa Mungu kumpata mtu sahihi kwa wakati sahihi. Hakika Lowassa atai push Tz mbele kwa kiasi kikubwa.; & That's FACT
 
Back
Top Bottom