Mimi ni Simba lakini kwa hili nashauri Yanga wavamie kwa Akilimali wakidai awalipe wachezaji ili liwe funzo kwa watu kama Kilomoni. Mi najua Manji kafanya makusudi ili Yanga wajue umuhimu wake
Akamuulize Ustadhi jana kashinda amefadhaika ameshindwa akubali mabadiliko au akatae.
Tatizo watu walishazoea kuvuna bila jasho.
Kama huna kazi nenda kijijini kwenu ukalime hatutaki porojo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.