Recent content by nyatito

  1. N

    JamiiForums Tanzania Press ya kwanza ya Lissu baada ya kutoka jela, itakuwa na kishindo kikubwa sana na kuna watu wazito wanaweza kuvuliwa nguo

    Acheni kukufuru Huwezi kumlinganisha Yesu na chochote
  2. N

    JamiiForums Tanzania Taarifa kutoka JWTZ kuhusu Jenerali Davis Mwamunyange

    Hii movie Ina sitofahamu nyingi sana
  3. N

    JamiiForums Tanzania Taarifa kutoka JWTZ kuhusu Jenerali Davis Mwamunyange

    . na yeriko nyerere Yuko wapi
  4. N

    JamiiForums Tanzania Chadema wafanya vurugu kwenye ofisi zao Shinyanga

    Tatizo Ni nini kwani
  5. N

    JamiiForums Tanzania Hotuba ya Zitto Kabwe - Julai 04, 2015 na Orodha ya walioweka fedha Uswisi

    SI mnakumbuka hata kwenye uzinduzi WA chama mtoto WA kwame krumah na mabarozi WA nchi za ulaya na Prof lipumba walikuwepo kama tulivokuwa tumetangaziwa! Chezea zito wewe
  6. N

    JamiiForums Tanzania Ni Dr Slaa ITV na Zitto Channel 10 Live

    mi ninachojua Ni kuwa mkutano WA chadema Ni jumapili na WA act ndo kesho jumamosi
  7. N

    JamiiForums Tanzania Spika anajuaje waliosema Ndiyo au Hapana wameshinda?

    Ana assume kuwa wote wanaosema siooooo Ni wabunge WA ccm sasa kwa vile wao ndo wengi bungeni basi kelele za siooooo zitazidi zile za ndiooo
  8. N

    JamiiForums Tanzania Kwa mbinu hizi, Lowassa ni mafuriko yasiyozuilika kwa mikono!

    Sasa hapo Dr slaa anahusikaje, hapa topic inamhusu lowasa na ccm. Mda mwingine Ni bora kufikiri kwanza kabla ya kutenda au kuongea chochote
  9. N

    JamiiForums Tanzania Umma upewe taarifa ni fedha kiasi gani zimeokolewa kutokana na mahudhiro hafifu ya wabunge

    Fedha yote inayotakiwa kulipwa kwa wabunge kama posho za vikao vya bunge ilishatengwa tayari wenyewe kazi Yao Ni kusaini Tu...na huwa wanasaiana na Kila mtu anaingiziwa chake mwisho WA siku...hata ikitokea bungeni amebaki spika pekeake hakuna hata senti tano itakayorudi hazina...
  10. N

    JamiiForums Tanzania CHADEMA vunjeni UKAWA

    Kwa majimbo kama segerea, ukonga, kigamboni, Serengeti, morogoro mjini na kilosa chadema ina nguvu Sana ukilinganisha na vyama vingine ndani ya ukawa...mi naona Ni bora hayo majimbo vyama vingine vikakubari kugawana hayo mengine yaliyobaki..
  11. N

    JamiiForums Tanzania Historia ya Freeman Aikael Mbowe (hadi mwaka 2015)

    Kama ishu ingekuwa Ni degree au u profesa basi tz tungekuwa matajiri..maendeleo ya nchi hayahitaji kiongozi mwenye elimu kubwa bali kiongozi mwenye maono ambaye atatumia wataalamu wanaomzunguka kuweza kufikia malengo na maono yake...hapo ndo mbowe anapowashinda wengine..adolf Hitler hakumaliza...
  12. N

    JamiiForums Tanzania Mbowe: Lowassa ni dhaifu, ni bubu

    We mtu gani hata bungeni hachangii chochote...ina maana hayaoni matatizo ya watz na Hana njia mbadala ya kuyatatua? Bora alivokuwa waziri tungemtetea kuwa anaogopa kuikosoa serilali yake, lakini tangu 2008 Ni mbuge hadi Leo na hajawahi kukosoa chochote wala kukemea ufisadi na rushwa ina maana ye...
  13. N

    JamiiForums Tanzania Mbowe: Lowassa ni dhaifu, ni bubu

    Naona watu wanashadadia Tu kumshabikia lowasa, akiwa rais tutajuta nchi hii..tutaona heri hata ya kikwete..lowasa hafai kabixaa kuwa rais kuanzia ye mwenyewe hadi team inayo mback up Ni hatari tupu.
  14. N

    JamiiForums Tanzania Wanafunzi UDSM wafanya vurugu Mabibo Hostel kwa kucheleweshewa fedha za mkopo (Boom)

    Ukitaka kujua serikali inafanya makusudi jiulize Ni lini umewahi sikia wabunge wamecheleweshewa posho zao au mishahara Yao?
  15. N

    JamiiForums Tanzania Utafiti: Mnyika kurudi bungeni ni 100%

    Ufike mda watz tujadili mambo ya msingi na kwa hoja na sio kutukana Tu, kazi ya mbunge Ni kuisimamia kuishauri na kuiwajibisha serikali. Na kwa hapo John mnyika kajitahidi Sana ukilinganisha na wabunge wengine.
Back
Top Bottom