My god win, kosa kubwa mnalofanya wadichana ni kujirahisisha - yaani kuanza mahusiano ya ngono na wachumba zenu, hili linakuondokea thamani kabisa, hata ukifanikiwa kuolewa bado utakuwa na uzito wa mchepuko tu. Aidha, kuanza ngono kabla ya ndoa kunawazuia waoaji serious kukufuara jwani wanakuona...
Kwa wengi uchangudoa ni ugonjwa sawa na ulevi wa mihadarati. Seli za ubongo kwenye "limbic system" hukua sana (sawa na wajenga msuli au vilema wa bauskeli za mkono). Hii huleta mabadiliko ya uhitaji wa ngono / kutoridhika na mwanamme mmoja. Sehemu hii ya ubongo hukuzwa na kuanza ngono mapema...
Housegirl, nakuunga mkono. Kwa mtazamo huo, endelea kuwa kishoka tu, nakubaliana na wewe kuwa huna sifa za mke! Mojawapo ya sifa ambazo huna ni: kuamka wa kwanza na kulala wa mwisho! Huwezi kabisa! Usithubutu kuolewa utajuta!
Mahakama imetoa amri ya kusitishwa kwa muda hadi kesi ya msingi itakapoamuliwa. Waliojenga sehemu hatarishi na za wazi wajipange kuondoka mapema. Sheria inamtaka kila anayejenga awe na kibali la sivyo ni uvunjaji wa sheria. HAMENI
Nampongeza Mhe. Lowassa kwa tuzo ya amani amabayo kwa maoni yangu ANASTAHILI kabisa. Tamko lolote la kijinga toka kwake lingenzusha machafuko na mauaji, badala yake aliwaambia washabiki wake wawe watulivu. Katika kampeni zake alitumia lugha za kistaarabu na alijizuia kujibu matusi aliyokuwa...
Nampongeza Mhe. Lowassa kwa tuzo ya amani amabayo kwa maoni yangu ANASTAHILI kabisa. Tamko lolote la kijinga toka kwake lingenzusha machafuko na mauaji, badala yake aliwaambia washabiki wake wawe watulivu. Katika kampeni zake alitumia lugha za kistaarabu na alijizuia kujibu matusi aliyokuwa...
Dr Wilbroad Slaa, wewe peke yako ndiyo mkweli ktk siasa za kistaarabu. Kujitoa kwsko ktk siasa ni pigo kubwa kwa waTz wapenda amani na maendeleo. Wa-Tanzania tunakuamini sana na bado wewe ni tegemeo letu la kujenga mfumo wa haki na usawa. Mimi simuoni mwingine - wengi wanafanya siasa kuganga...
Kinachonitisha zaidi ni lile genge la matajiri na mafisadi lililo nyuma yake waliotoa pesa za kununua chama. Hawa wakishika madaraka licha ya kunyonywa sana halitakuja liachie madaraka. Wa-Tz msifanye makosa kuwapa serikali yetu watu wa mashaka kama hawa, mtajuta!
Wewe ni malaya unatumia urithi wa bibi kama mtaji! Kuzaa siyo dhambi ila dhambi ni umalaya wako. Mlipe ulivyokula zaa nae kwa vile umejikabidhi kwa shetani. Mwisho wako ni Jehanamu. Ushauri wangu na wa mwisho, katubu na kuungama ili YESU akuokoe na kongwa hili la kujidhalilisha la umalaya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.