tracy martins
JF-Expert Member
- Aug 5, 2014
- 3,535
- 1,484
Gadafi sio diktekta bwana, those are western propagandasDikteta Muamar Gadafi alianza kwa style hii hii. Subirini mtaamini niyasemayo.
Gadafi sio diktekta bwana, those are western propagandasDikteta Muamar Gadafi alianza kwa style hii hii. Subirini mtaamini niyasemayo.
Mh.Rais ndio mwajiri ndio kila kitu Rais acha kusikia wezi hao wanajilipa mishahara ya ajabu Kwa Kazi gani?Wewe ndio kila kitu hata Leo ukisema unataka kichwa cha MTU Fulani utaletewa Mh.Punguza hiyo mishahara wametuibia vya kutosha.
Sponsors wa watu mjini, zile swaga "ma new ride zinaenda kwishaaaaaapasco bana,eti analinganisha mishahara ya huko marekani na japani na hapa tanzania!!!!!pasco just be honest,milioni 40 kwa mwezi unazitumiaje?yani kwa vyakula hvi tunavyokula ubwabwa,nyama,maharage umalize milioni 30 kwa mwezi?na usisahau hao watu wanalipiwa nyumba,mafuta full tank...acha utani pasco!!!!!!!mimi nimesoma kama hao na nina uwezo,kama vipi magufuli anipe hiyo kazi kwa milioni tano tu kwa mwezi...ebo!!!!wahongaji kama wewe pasco ndio mnatakaga mihela mingi...
Hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa tabu kweli kweliMkuu watanzania wengi wana akili nzito sana sana!! Lishe duni.... Elimu mbovu na mazingira mbovu yametafuna kabisa uwezo wa kufikiri wengi wapo kama wafu tu!! MTU akisikia NHC anafikiri mishahara yao inategemea kodi kama ile ya Rais na mawaziri!!
We need a fair and just remuneration!
Haiwezekani kwa ela ya kodi mtu alipwe 40m na mwingine alipwe 200,000 Tshs!
Hauwezekani!!!!
Shirika la umma sio private company; ni mali ya serikali; ni uwekezaji wa serikali; halina haki ya kujimegea wanachozalisha wapendavyo; wanawajibu kwa umma kwa sababu ni mali ya watanzania wote lazima wanachofanya kizingatie maslahi mapana ya wanahisa wao kupitia Hazina; sio kutapanya wapendavyo wakawasahau wenye mtaji; ebho!Mkuu Mzalendo Halisi, usemayo ni kweli kuwa we need a fair and just renumeration, kiukweli na ki haki kima cha chini ambacho ni just na fair ni TZS 1,000,000/= lakini kutokana na umasikini wa nchi, hatuna uwezo huo, hivyo usiyahukumu mashirika yenye uwezo, for the expenses ya umasikini wetu wa nchi!.
Wanaolipwa pesa za kodi, yaani Government scale ni watumishi wa serikali tuu, top salaries yao ni mshahara wa rais. Hawa wanaolipana milioni 40 ni mashirika ya umma, they make those money, wana produce hivyo ni haki yao, kula wanachovuna. Kwenye mashirika haya exception ni TRA ambao wao hawapoduce bali wanakusanya, nao wanalipana vizuri ili kuepuka vishawishi vya kupokea rushwa njaa. Hawa wakubwa wa serikali wasiopokea mishahara minono kama ma CEO wa mashirika, ndio matajiri wakubwa kuliko hao ma CEO, source za utajiri wao ni "vijisenti" kwenye cut za "the grand corruption" wakiongozwa na top wao!.
Watu wanaofuga kuku wa nyama na mayai, huwezi kuwazuia kula kuku wao na kula mayai, na badala yake uwalazimishe kushindia mihongo na kisamvu, tembele au sukuma wiki, eti tuu kwa sababu, wengine hawawezi kula kuku na mayai!.
Hii mishahara ya Magufuli, itashusha productivity!.
Pasco
Ni kweli thread yenye akili, na hii sio ya kwanza kutolewa na mleta uzi.Leo umetoa thread yenye akili sana ni matumaini yangu kuwa mzee wa majipu ataufanyia kazi ushauri huu, alaaniwe mtu yeyote atakayepinga ushauri huu, amen
Comrade Pasco mbona mfano wako umelinganisha na kampuni binafsi kama Microsoft.. Kwani hiyo ya serikali.. Kwani umesikia Magufuli anataka mishahara ya kampuni ya Bakharesa ipungue
Comrade Pasco mbona mfano wako umelinganisha na kampuni binafsi kama Microsoft.. Kwani hiyo ya serikali.. Kwani umesikia Magufuli anataka mishahara ya kampuni ya Bakharesa ipungue