Recent content by NYASI-MSESE

  1. N

    JamiiForums Tanzania Bunge la Ulaya lapiga kura ya kutowaondoa wamaasai Ngorongoro

    Bunge la Ulaya limeitaka serikali ya Tanzania kusitisha mara moja uondoaji kwa nguvu wa jamii za Wamasai katika Wilaya ya Ngorongoro nchini humo kutokana na, miongoni mwa sababu nyinginezo, kugeuza maeneo makubwa ya malisho ya asili katika eneo la Loliondo kuwa hifadhi. Akizungumzia umuhimu wa...
  2. N

    JamiiForums Tanzania Benki ya Dunia imezipa mamlaka za Tanzania hadi mwishoni mwa Disemba kusuluhisha malalamiko ya ukiukwaji wa haki za kiraia

    Benki ya Dunia imezipa mamlaka za Tanzania hadi mwishoni mwa Disemba kusuluhisha malalamiko ya ukiukwaji wa haki za kiraia unaohusishwa na mradi wa maliasili wenye thamani ya dola milioni 150 ambao benki hiyo inafadhili kabla ya kuanzisha uchunguzi rasmi kuhusu suala hilo. Bodi ya Benki mnamo...
  3. N

    JamiiForums Tanzania Wizara ya ujenzi haijitambui

    Huyu jamaa anahadaa watu na kuzani Watanzania wote ni wajinga, ukiangalia kwenye ile IGA article-2 inasema jamaa wata manage na ku-operate strategic port infrastructure ambayo itakuwa ni hio SGR. Makame Mbarawa ameanza ku-trick watu lakinilengoni kumpa DPW, twende nao taratibu na kwa umakini...
  4. N

    JamiiForums Tanzania Msaada Nimegundua Fundi anaweza ua kabisa gari yangu

    Pole sana mkuu ndio mafundi wetu hao. Kuhusu Engine Oil 20W-50 ni nzito sana, magari mengi kuanzia mwaka 2010 spacing ya mechanical assemby ya engine parts ni ndogo sana, hivyo kutumia Engine Oil yenye viscosity nzito ni risk kubwa regardless of our environment ambayo ni joto hivyo oil ambayo ni...
  5. N

    JamiiForums Tanzania Naombeni ushauri juu ya Mitsubishi RVR/Outlander

    Kwa Outlander, asilimia kubwa vitu vinaendana na RVR ila maelezo zaidi ni kama ifuatavyo; Mitsubishi Outlander ni Mid-Size SUV ambayo ina configuration za 5-seater na 7-seater. (Kuna ile ya kawaida, Roadest, PHEV (Plug-In Hybrid Electric Vehicle), so far kuna generation nyingi). Gari hii ni...
  6. N

    JamiiForums Tanzania Naombeni ushauri juu ya Mitsubishi RVR/Outlander

    Mitsubishi RVR ni Compact-Crossover SUV ambayo toleo la kwanza haikufanya vizuri sokoni. Hizi ambazo unaziona kwa sasa Tanzania ni toleo la pili ambalo lilianza mwaka 2010. Baadhi ya Specifications zake ni kama zifuatazo; TRIM-LEVEL (DARAJA) Gari hii inakuja na madaraja matatu yaani “E” Kama...
  7. N

    JamiiForums Tanzania Penthouse juu ya nyumba ya wapangaji yawa Kivutio nchini Kenya

    Yeah sio kitu cha kustaajabisha sana ila ni execution nzuri sana ya ku-utilize space effectively
  8. N

    JamiiForums Tanzania Penthouse juu ya nyumba ya wapangaji yawa Kivutio nchini Kenya

    Parking zipo kwa ground picha haioneshi usawa wa foundation
  9. N

    JamiiForums Tanzania Penthouse juu ya nyumba ya wapangaji yawa Kivutio nchini Kenya

    Aisee noma sana inaonekana itakuwa bonge la mjengo.......una weza share picha yake tuone?
  10. N

    JamiiForums Tanzania Penthouse juu ya nyumba ya wapangaji yawa Kivutio nchini Kenya

    Mama mmoja kutoka Kenya, ameonekana kuwavutia watu wengi nchini humo baada ya kuja na design ya kujenga nyumba yake ya kuishi juu ya nyumba ya wapangaji wake (landlord amekalia tenants). Mama huyo ambae ni nurse kwa taaluma anaefanya kazi USA aliamua kuja na hio idea ambapo baada ya...
  11. N

    JamiiForums Tanzania Wakati Mahakama na Bunge nchini Tanzania zikiwekwa mfukoni na CCM, huko nchini Kenya Mahakama kuu imezuia Polisi wa nchi hio kutumwa nchini Haiti.

    Mahakama kuu ya Kenya angalau imeonesha uhuru wa kufanya maamuzi pasipo kuingiliwa na serikali katika kufanya maamuzi yake tofauti kabisa na hali iliopo kwa jirani yake Tanzania kwa kuzuia kwa muda kutumwa kwa maafisa wa polisi nchini Haiti kufuatia pingamizi/ombi lililowasilishwa na chama cha...
  12. N

    JamiiForums Tanzania Mkandarasi wa Uturuki, Yapi Merkezi athibitisha pengo la $1.8bn katika ufadhili wa Tanzania SGR

    Hizo $1.8 billion ni za lot 3 (Makutopora mpaka Tabora) na lot 4 (Tabora mpaka Isaka), lot zote hizi mbili zinahitaji jumla ya $2.2 billion, hivyo kwa majibu wa maelezo mpaka sasa pesa iliopatikana kwa lot 3&4 ni $400 million na hivyo kufanya funding gape kuwa $1.8 billion
  13. N

    JamiiForums Tanzania Mkandarasi wa Uturuki, Yapi Merkezi athibitisha pengo la $1.8bn katika ufadhili wa Tanzania SGR

    Hata hizi takwimu zao zina walakini........inawezekana wana pika data maana serikali haiaminiki kabisa
  14. N

    JamiiForums Tanzania Mkandarasi wa Uturuki, Yapi Merkezi athibitisha pengo la $1.8bn katika ufadhili wa Tanzania SGR

    Huyu Mbarawa amekuwa ni kiongozi asieaminika, ni muongo sana na anahadaa watanzania.........serikali wanakuja na rundo la miradi na mingi inaishia kuwa white elephant huku wao mifuko yaoikizidi kunenepa
  15. N

    JamiiForums Tanzania Mkandarasi wa Uturuki, Yapi Merkezi athibitisha pengo la $1.8bn katika ufadhili wa Tanzania SGR

    Sure, hawa jamaa ukienda nao ki-profesional na kukawa na seriousness kwenye usimamizi basi utaona ufanisi mzuri sana and vice versa is true.
Back
Top Bottom