Hujaelewa jamaa anachozungumzia....anamaanisha kama umepimwa ukakutwa na malaria labda dokta huwa anaandika karatasi ya dawa unayopaswa kutumia ila hawezi kukupa kama hutonunua dawa kwao ila kama utanunua utaondoka na ile karatasi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.