Recent content by nyarwambai

  1. N

    Subtitles kwenye movie za Kibongo

    Habari wakuu Jamani mie huwa sielewi hizi movie za kibongo ni akina nani wale wanaozitafasiri kwa kiingireza. kweli wanaboa mno na kutia aibu
  2. N

    Hivi Tanzania kuna ma-engineer au mafundi repair?

    what i know ni kuwa siasa za nchi yetu sio rafiki sana na proffesionals. pia mazingira nayo si rafiki. mifano kadhaa ipo: unadhani ni mazingira ya kitaalam yaliyoongoza kuleta powertillers au bajaji za kubebea wagonjwa? ulishawahi kushuhudia jinsi hivyo vifaa vinavyofanya kazi huko...
  3. N

    Dagaa Nyasa wanauzwaje huko kwenu?

    ok. kwanin kyela vizuri mnskula wenyewe? anyway nitamwambia rafiki yangu ulimboka aniletee hao wa kyela
  4. N

    Hivi Tanzania kuna ma-engineer au mafundi repair?

    infact granta alitaka kujua engineers wana role gani katika maendeleo ua tanzania. bahati mbaya hajui kuwa kuna fani kadhaa za engineering na hata hao alowalenga kazi yao ni kubwa kuliko bolts na baiskeli. wote hao wamekuwa na mchango mkubwa mno kwenye maendeleo ya nchi hii. pengine sasa amejua...
  5. N

    Hivi Tanzania kuna ma-engineer au mafundi repair?

    kuandika made in tanzania ni rahisi kwa kuwa hiyo inafanywa na wachora maandishi ambao sio engineers. hakuna injinia ambaye anahitimu bila kutoa mchango wake ni nini atafanya kutumia elimu yake. vyuo vinavyotoa mainjinia hayo yapo na ni mengi kwa idadi ya wahitimu. tatizo ni mfumo wetu elimu na...
  6. N

    Hivi Tanzania kuna ma-engineer au mafundi repair?

    jinsi hoja yako ilivyo unaongelea mechanical engineers. kwa kuelewesha wana jf ungetoa mfano wa nchi za afrika ambazo mainjinia wao wameunda kitu ili angalau waumie kuwa kwanini wao hawawezi. ungeenda mbali zaidi kwa kuuliza engineers wa bongo walioko nje wana mchango gani huko. tuendelee...
  7. N

    Dagaa Nyasa wanauzwaje huko kwenu?

    jamani sunbawanga ni balaa kwa bei ya hao dagaa. nilimwagiza dada wa kusaidia kazi akaniambia elf 12 kwa kilo(hawauzi kwa sado huku). sikumwamini sana ila nikamezea tu. shughuli ilikuja wakati wamepikwa. kama mbao kwa kwelo. ukweli sikuweza kuwala. hapa pia kuna dagaa wa ziwa tanganyika. wenyewe...
  8. N

    Dagaa Nyasa wanauzwaje huko kwenu?

    sumbawanga wanauzwa tzs 12,000 kwa kilo. ila mbona wabaya kwangu! kwanza huwezi kuelewa kama ni dagaa au samaki. pili ni wagumu kuiva. binafsi siwapendi
  9. N

    Walioagiza magari SBT Japan Co. Limited

    japo nimechelewa kukomenti but binafsi nimeagiza magari mawili kwa muda tofauti. they are excellent. tatizo lao ni simu but wanajua biashara halali. worry out
  10. N

    NMB Tanzania Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    hongereni. nmb ni benki yetu watanzania tulio wengi hasa wa vijijini. kero kubwa kwangu ni mashine za kutoa zenyewe(ATM) kukosa pesa au baadhi yake kutokufanya pesa. jitahidini kuhahakisha kuwa mashine zote zinakuwa na pesa muda wote na zinafanya kazi.
  11. N

    Tujikumbushe Mabasi ya abiria ya zamani tokea tupate uhuru

    ngoreme bus service la musoma mugumu. m.c.manko(mwendarudi) tarime mugumu miaka 1980 mwanzoni
  12. N

    Mwanamke Kalio bwana, Kama Sura hata Mbuzi anayo

    flat screen inaendana na salimia
  13. N

    Moyo wa kuhonga unanipeleka pabaya

    kwa kuwa unahonga binadamu na kwa malengo fulani endelea tu. ni sawa na kutoa msaada
Back
Top Bottom