Walioagiza magari SBT Japan Co. Limited

Walioagiza magari SBT Japan Co. Limited

Kwa atayeona hili swali anisaidie... Gari ya 2002 importation charges zake zikoje kwa bandari ya Dar? Ambayo gharama yake ni km $ 3,800/- hivi

Kwa maana ya kwamba kuichomoa bandarini mpaka kuwa nayo kitaa...
 
Nawaomba ushauri kuhusu uaminifu au tija ya kampuni ya Magari ya SBT Japan Co, Ltd

Nina mpango wa kutuma pesa ($) huko waniletee gari. Pia ni nani kati ya waajiri wake nimwamini kwani majina yao inaoekana ni mengi (Mfano Ahmer Khan, Aamir Abdul Jabbar, SBT Motors UK Limited nk. ) nk.

Nilichungulia mtandao wao nikajiregista kwa e-mail na sasa wanapiga simu kila kukicha, ila nia ninayo.

Naogopa kutapeliwa jamani.

Ni wewe tu kwa kuwa umerejista katika mtandao wao pesa zinatumwa bank kwa supplier ila ukitaka kuliwa tumia mifumo mingine hasa kumtumia mtu binafsi utaipata fresh.
 
Kwa atayeona hili swali anisaidie... Gari ya 2002 importation charges zake zikoje kwa bandari ya Dar? Ambayo gharama yake ni km $ 3,800/- hivi

Kwa maana ya kwamba kuichomoa bandarini mpaka kuwa nayo kitaa...

Taja jina la gari, model yake, mwaka wa kutengenezwa na engine capacity (cc) ndio utaweza pewa details utakazo.
 
Taja jina la gari, model yake, mwaka wa kutengenezwa na engine capacity (cc) ndio utaweza pewa details utakazo.

Nissan xtrail, manufactured yr 2002/1, CC 1990 TA-NT30, mileage 87,444,. Inspection Fee Included
Gharama halisi ni $ 3,893/-

Haya mkuu nipe mwongozo hapo
 
C uende show rum kuagiza gari ni pasua kichwa meli zinatekwa kila siku na wasomali
 
Nissan xtrail, manufactured yr 2002/1, CC 1990 TA-NT30, mileage 87,444,. Inspection Fee Included
Gharama halisi ni $ 3,893/-

Haya mkuu nipe mwongozo hapo
Hapo ushuru andaa kama 5.5mil. Ongeza na kama 1mil ya gharama za bandarini.
 
Nawaomba ushauri kuhusu uaminifu au tija ya kampuni ya Magari ya SBT Japan Co, Ltd

Nina mpango wa kutuma pesa ($) huko waniletee gari. Pia ni nani kati ya waajiri wake nimwamini kwani majina yao inaoekana ni mengi (Mfano Ahmer Khan, Aamir Abdul Jabbar, SBT Motors UK Limited nk. ) nk.

Nilichungulia mtandao wao nikajiregista kwa e-mail na sasa wanapiga simu kila kukicha, ila nia ninayo.

Naogopa kutapeliwa jamani.


Nilinunua gari kwao, japo wanapiga sana simu mpaka inakuwa ni too much. pamoja na hayo inabidi uwe makini na email account yako kwa kuwa wizi unatokea pale ambapo hackers wakinasa mawasiliano

Uzuri ni kuwa wanaruhusu kulipa kwa installment, so unaweza lipa kwa awamu mbili ili uwe na uhakika zaidi
 
Asante bwana ilonga. Ila kwa uzoefu wako kwa hiyo bei na hizo importation charges inalipa?!

Kulipa kwa gari inategemea na ulipoinunua ilikuwa na mileage ngapi AU imetumikaje kabla AU ilishawahi kupata ajali au la.
Kwa X-trail jaribu kutafuta yenye mileage chini ya 110000km. But Zaidi ya 150000km sikushauri uchukue itakusumbua.
 
Last edited by a moderator:
japo nimechelewa kukomenti but binafsi nimeagiza magari mawili kwa muda tofauti. they are excellent. tatizo lao ni simu but wanajua biashara halali. worry out
 
Mkuu issue ya kuwahi gar kufika inategemea maybe umelipia halafu shipping ipo mwsho ndo maana ukawahi lakn kawaida ni mwezi,pia kwenye kubagain bei hawana shida mfano mm mwaka jana nlinunua gar yao FOB ilikia $27400 na nikawambia hiyo bajeti sina na wakanifanyi CIF $25000 Imagine nlipata punguzo la karibu dora 3000.

duuuu,we kweli nimekukubali mkuu kwa ku-bargain vizuri,umewapunguza dola nyingi sana hadi raha,poa sana kaka
 
Ndugu Ambiente, nilitaka kuanzisha uzi mpya kuhusiana na hawa SBT ila nikaona niendeleze hapa kwako ili tuweze kupata mengi juu ya hawa SBT. Nina mpango wa kununua gari kwao, vipi uliweza kununua kwao na hukupata mizengwe?

Kwa yeyote mwingine mwenye taarifa zao za karibuni kuhusiana na 'kujiweka mbali na matapeli' basi atusaidie.
 
Back
Top Bottom