Moyo wa kuhonga unanipeleka pabaya

Moyo wa kuhonga unanipeleka pabaya

yaani kumbe watu hapa wamefulia hivi mi najua mmehonga vitu vya milion 50+ kumbe vifridge. simu. vijihela vya perege wadogo. nyama robo n.k mmeniudhi sana acheni kuwaaibisha wanaume wa kweli
 
Nakumbuka Enz Hzo
Demu Wangu Nilimhonga Pesa Ya Ada Kwa Ajili Ya Malipo Ya Hostel
Pia Pale Nilipompa Smatfon Ya Bei Mbayaa...
Demu Wng Flan Hv... Nam Kubaki Na Kisim Cha Tochi Cha Kufunga Kwa Manati
Kuhonga Nimehonga Sana Na Ninazidi Kuhonga
Tena Bila Kuambiwa
Na Tukiachana Huwa Sidai
Pamoja Na Umaskini Wangu Lakn Ktk Suala Hilo Mi Niko Vizur Kwa Kweli
Sijui Itakuwaje Siku Nikipewa Nchi!!?

Kwaio unajitangaza ili wengine wajitokeze wakuchunee? Lipia tangazo mkuu
 
yaani kumbe watu hapa wamefulia hivi mi najua mmehonga vitu vya milion 50+ kumbe vifridge. simu. vijihela vya perege wadogo. nyama robo n.k mmeniudhi sana acheni kuwaaibisha wanaume wa kweli

Mkuu Kwani Umewahi hongwa Kiasi Gan Kinachozid Uhongaj Wangu?
Kuna Mihongo Mingine Sijaandika Hapa Kwani Inanitesa Sana
 
Kwaio unajitangaza ili wengine wajitokeze wakuchunee? Lipia tangazo mkuu

Mi Naeleza Matatizo Yangu Hapa!Kwani Mtu Akiandika Hapa Kuwa Anamalizia Mshahara Wake Bar, Ni Vibaya?
 
duuh kwakwakuwa umeshajua tatizo basi punguza speed ya uhongaji then utaacha automatically
 
kwa kuwa unahonga binadamu na kwa malengo fulani endelea tu. ni sawa na kutoa msaada
 
Back
Top Bottom