Mimi ninadhani anaeupa mwili kazi ya kubeba kichwa kisicho na kitu ni wewe ulieshindwa kumuelewa jamaa,andiko lake limejitosheleza kwa mtu yeyote mwenye ufahamu ulio timamu,Sasa nashindwa kuelewa sijui tatizo ulilo nalo ni upopoma au ni Nini.
Aangalie asije akafanya makosa,huyo mkwe wake aliesababisha mtafaruku bado yopo hai japo karudi kijijini.Halafu Kama ni mke Bora tayari ameshapata sasa analilia kitu gani anachohisi kakipoteza?atafakari kwa kina kabla ya kuchukua hatua.
Mimi nadhani mleta uzi Kuna kitu kaamua kujisahaulisha bahati mbaya Kama si makusudi,ukubwa wa mwanamme sio wa kujadili Bali ni qadar aliyoiweka Mungu,ambayo haitabatilika kamwe mpaka kuisha kwa dunia.Vitabu vya Mungu vinatuambia kuwa jumla ya mitume na manabii wa Mungu ni 124000,na wote hao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.