Ushauri wenu ni wa muhimu kwa hili!

Ushauri wenu ni wa muhimu kwa hili!

Mzee baba we mwanamke umemzalisha alafu ukaachana nae miaka imepita umekutana nae tena unategemea mda wote huo alikuwa na nani hapo jiongeze tu
 
Mwachie u single mother.Utapata mwingine mpya otherwise utaingia matatizon.
 
Mpe mda ndege wako huyo mshazaa kaeni chini muyamalize kma waeza hama ata huo mtaa mkae mbali na hapo na badili line yake
 
Huyo single mother wako unamwaachia nani unataka nani aoe Kama sio wewe
 
Hivi unadhani kati yako na yeye mwenye matatizo ni nani?!bila Shaka mwenye matatizo ni Wewe unaepataka ulipopaacha,hivo unavuna ulichopanda.
 
Sema ukweli mkuu wakati unamtelekeza ilikuwaje maana hapo ume-skip?
mkuu c unajua lile wenge la boarding school ko yy nlijikuta tu nmemlala ila ukwel nlikua na manz ambaye ndo nlimuelewa zaid cz na mwsho kanipiga chin ko nkaona nifanye plan B na nliempa nafac kwa nafac hii n yy ila kaanza chenga ko na yy napiga chin tu
 
ta
Hivi unadhani kati yako na yeye mwenye matatizo ni nani?!bila Shaka mwenye matatizo ni Wewe unaepataka ulipopaacha,hivo unavuna ulichopanda.
Tatizo tushalisolve kikawa sawaa ila hizi ishara znazoonekana kwa ss iv n kama tu hakuna kilichokua solved ko mm na move on tu
 
Back
Top Bottom