Dawa gani nzuri ya kuzuia mimba wakuu

Dawa gani nzuri ya kuzuia mimba wakuu

Ni dawa gani nzuri ya kuzuia mimba isiyo na madhara kwa mtu ambae hajawai kuzaa .mambo ya kutelekezewa watoto hatutaki kwa kweli.
Coca cola ya baridi na panadol

Maji ya baridi zidisha majani ya chai

Koroga majivu kunywa
 
Condom, na kwanini utoe mimba?? Uyo mtoto anaweza kuja kuwa msaada wako. We lea tu hta kama ukitelekezwa.
 
Condom, na kwanini utoe mimba?? Uyo mtoto anaweza kuja kuwa msaada wako. We lea tu hta kama ukitelekezwa.
Mambo atayopitia hapo katikati kuanzia kutunza mimba mpaka mtoto atakavokua na mwaka mmoja angalau ataona mara mia angetoa
 
We ungetolewa maji ya gundu tungeyajulia wapi? Acheni kubania uhai wa watu jamani
Mambo atayopitia hapo katikati kuanzia kutunza mimba mpaka mtoto atakavokua na mwaka mmoja angalau ataona mara mia angetoa
 
Back
Top Bottom