Angalizo kukushitaki kubaka ni sawa na kukumaliza maisha yako ndani ya jera ili yeye na gwajima wabakie wakitafunana kwa raha zao.angalizo kaa makini na huo msamaha!!!!
Nimefurahishwa na jinsi lowasa alivyochambuliwa hapa.sasa nimemjua vizuri kabisa kumbe ndiyo mana baba wa taifa alitutaadhalisha kuwa tumwogope kama ukoma!
Mabadiriko ni wewe mwenyewe unajua chadema wamejificha ktk kichaka cha ukawa lakini mgongo unaonekana!! Ukawa ni umoja wa majizi ya kasikazini na majambazi ya ndani na nje ya nchi yanayotaka kupora mali zetu.
Mabadiriko ni wewe mwenyewe unajua chadema wamejificha ktk kichaka cha ukawa lakini mgongo unaonekana!! Ukawa ni umoja wa majizi ya kasikazini na majambazi ya ndani na nje ya nchi yanayotaka kupora mali zetu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.