Kwa Mfanyabiashara Faida na Hasara ni vitu vya kawaida sana, sioni tatizo kama amepata faida au Hasara, Mfanyabiashara mkubwa kama yeye anatakiwa kupongezwa kwa kuthubutu, ndio inavyotakiwa hivyo, Hata hivyo kama Mwenyewe hajajitokeza na kutuomba tumchangie kutokana na hasara aliyoipata kwa nini...