engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
Sasa tumeamuwa kuchukuwa jukumu wenyewe watanzania,pasi ya kusubiri wafadhiri, tunapeperusha bendera ya Tanzania kwa nguvu zote, kwani ipo siku wataelewa tu na kuondoa dhana ya kuwa watanzania tu hohehae, hatuwezi chochote.
Hapa ni ktk maonyesho ktk nchi za ASIA.
Hapa ni ktk maonyesho ktk nchi za ASIA.