Recent content by nyanyantole

  1. nyanyantole

    Yesu hakua Masihi (Masiach) Aliyeahidiwa kwa wa Yahudi/wana wa Israel

    Mungu ni Roho. Vyote unazungumza vya mwilini TU hivo LAZIMA viwepo ili adhibitike ktk Roho. Hekalu ni Mtu Kanisa ni Mtu hivi sio jengo so ni Mtu aliekuja kukombolewa. Mtu anaemchagua yy mwenyewe (Neema) huwezi mpangia dunia kaiweka Kwa ajir ya watoto wake. Si wote ni wana wa Mungu ila wote...
  2. nyanyantole

    Israel yaishambulia Iran, milipuko yasikika katika mji mkuu wa Tehran

    Kazi yao ni kubomoa,kuharibu, Kujenga na kupanda. Wameumbiwa hayo LAZIMA yaonekane kimwili lakin ukisoma bible ni hivo TU mpera mpera
  3. nyanyantole

    Wakulima debe la mpunga hutoa kilo ngapi za mchele?

    Gunia la mpunga lililoshiba Lina kg 90 na 30 ni Pumba na 60 ni mchele. Sasa gunia Lina debe 6 hivyo kila debe linakupa kg 10 za mchele.
  4. nyanyantole

    Kila nikisikia stori za Mungu nahisi kichefuchefu

    Isaya 29 16 Ninyi mnapindua mambo; Je! Mfinyanzi ahesabiwe kuwa kama udongo; kitu kilichofinyangwa kimnene yeye aliyekifinyanga, Hakunifinyanga huyu; au kitu kilichoumbwa kimnene yeye aliyekiumba, Yeye hana ufahamu?
  5. nyanyantole

    Kila nikisikia stori za Mungu nahisi kichefuchefu

    Mungu ni Taasisi/Ufalme ambapo wapo zaidi ya mmoja Kwa Mujibu wa Bible Mwanzo 1 26 Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi. NA TUMFANYE U...
  6. nyanyantole

    Naandika uzi huu wa historia yangu ya mahusiano ya kimapenzi na binti mmoja niliyempenda lakini wazazi wake wakaharibu na sasa wanajuta

    Mh MBONA hakuna kosa yy kwenda shule, wewe kufanya nae uasherati umeona sio kosa. Wanadamu wanashangaza Sana. Unadhan upo salama kiiiiivo.
  7. nyanyantole

    Rafiki yangu kavunjiwa nyumba mara mbili mwezi mmoja ilazo Dodoma (ana mbwa wa ulinzi Boerboel)

    Mwambie Rafiki yako kuwa Bwana asipoulinda Mji walindao wakesha Bure, atafute uso wa Mungu sbb Hana,akiupata ashike Sheria ya Mungu,Amri,hukumu na maagizo na kuyatenda mfano Fungu la kumi. The rest itabaki historia si kuibiwa TU na MENGINE.anaibiwa sbb Hana Ulinzi wa Mungu
  8. nyanyantole

    HooneyMoon itangulie kabla ya ndoa. Watumishi wa mungu lisimamieni hili kuokoa ndoa za watu

    Watu WAKITOKA KUFUNGA NDOA HONEY MOON WAFANYIE NYUMBANI KWAO SIO HOTELI. fikir tumetoka kupokea baraka unaenda siku hiyo hiyo kulala hotel ambapo YAMKINI kitanda unacho lalia Kuna watu walifanyia uzinzi, uasherati na ufiraji how come Yale maneno mazur ulitamkiwa yaka wini MAISHA. Utaanza...
  9. nyanyantole

    Shinyanga: mkuu Wa mkoa, mkuu Wa Wilaya na Viongozi Wa kata shinyanga mjini,Je mnataka kizazi Cha mabinti wote waingie kwenye biashara ya Ngono?!!

    Jirani Kuna ka kitimoto mazingira machafu kweli. Biashara eneo Hilo imekuwa ni ya kitambo naamini heri ku deal na Mungu kuliko kuzuia watu kwenye mfumo wowote wa Maovu. Huwezi.
  10. nyanyantole

    Namna ya ku-deal na Gold digger

    Oa. UNAINGIA kwenye sinagogi kuswali lakin kichwa kitupu shetan kaweka mayai yake
  11. nyanyantole

    Kwanini Mungu alimuumba Yesu kiharamu kama kweli alifanya hivyo badala ya kumshusha kama malaika?

    Mungu ni Taasisi na Taasisi Ina zaidi ya mmoja. Yesu ni jina la Mungu. Unapomzungumzia Yesu duniani usisahau ni KRISTO YESU. Kama wewe ulivo na baba Basi kristo baba yake ni Yesu na ndiye alitufanya wote Kwa mkono wake
  12. nyanyantole

    Naomba ushauri: Namwambia aache pombe hataki. Nampenda sana siwezi kumuacha, nifanyeje?

    Pombe ni mfumo utokao katika koo.hiyo ni Roho we Nan uitoe?! Unawezaje kuishinda hiyo Roho Wakat upo kwenye zinaa uinahangaika TU. Pombe ni Pepo la ukoo ni mkondo unafata
  13. nyanyantole

    Naumaliza mwaka Kwa machungu ya kuachana na mwanaume wangu niliyempenda sana

    Kuanza mapenzi mapema ni changamoto. Kuivunja hiyo Roho yake ndan yako ni SHIDA utakuja msumbua mumeo. Tafuta uso wa Mungu acha zinaa
Back
Top Bottom