Recent content by nyanyantole

  1. nyanyantole

    Tulia Ackson na Mwenyekiti wa CCM Mbeya Waendesha Kampeni Chafu za Ubunge Mbeya Mjini

    Mbuga ipo porini,ukiona Mtu anatumia fedha zake kufanya maendeleo hafai. Ni vile hufikir kuwa anazipata wap hizo fedha
  2. nyanyantole

    Hakika na waambieni wake zenu waajiriwa ni wake zetu makazini

    Bible ipo kimwili(Andiko) ili uielewe Mambo ya roho lazima uijue vizur na mifano. Israel sio kule Bali Ni Mtu yeyote aliempokea Yesu amefanyika taifa takatifu la Mungu. Hapa Tanzania na kila nchi kunae sodoma na gomora. Ilikuwa lazima iwepo ili ujue. Watu wanafirana hata hapo kwenye ukoo wako...
  3. nyanyantole

    RIP Gadner G. Habash, ila wengi waliokuja kwenye msiba wako hawakuja kuomboleza, walikuja kutikisa ili wa-trend

    Na ndo maana tunapendana hatujuan,tunasalimiana na hatujuan. Ni Mungu tu
  4. nyanyantole

    Hakika na waambieni wake zenu waajiriwa ni wake zetu makazini

    Shida unakuta mtu umeoa kwa akili zako kwamba nampenda ananipenda Mungu hajahusika then unampelekea Mungu akabariki kumbuka ulikuta kashaliwa yaani shetani ndie aliye Anza Kula tunda.Mfano Mzuri Ni Hawa wa adamu shetani alibandua Kwanza akampata kaini hivo hiyo hali ipo hivo ogopa Sana Hilo...
  5. nyanyantole

    Je, ni sahihi mambo haya kufanywa na wanandoa?

    Kila nyumba ina vyumba vyake so ni sahihi kwa usahihi
  6. nyanyantole

    Kahama wanavuna mpunga mwezi gani?

    Hivo Kuna wa ,1300,1400,1500,1600,1700,1800,2000,2400 bei tofauti kutokana na mchele ulivotoka
  7. nyanyantole

    Kahama wanavuna mpunga mwezi gani?

    Bei ya kahama Sasa hivi nimepiga simu mashineni Ni kuanzia 1300 kg 1 mpaka super ule unaitwa belenge( sijui jina kama nimepatia) 2400 wewe Sasa.
  8. nyanyantole

    Kahama wanavuna mpunga mwezi gani?

    Wa wapi kahama yaan Kagongwa au shinyanga mjini na Tani ngapi? Na upo wapi?
  9. nyanyantole

    Kahama wanavuna mpunga mwezi gani?

    Afu kuvuna mwaka huu kunatofautiana kiaina sbb mwez wa pil na wa 3 hakukuwa na mvua ya kutosha. Wewe unataka Mpunga au unataka mchele. Maana wanavuna Sana Sasa hivi Kagongwa naweza kuulizia bei Kama hauna
  10. nyanyantole

    Kahama wanavuna mpunga mwezi gani?

    Shinyanga Sasa hivi gunia 65,000 ila ukizama ndan 55,000 pengine ikashuka mwez wa 5 nlikuwa huko bush
  11. nyanyantole

    TANZIA Mfanyabiashara Emilian Woiso afariki dunia

    Na kisukar Ni magonjwa ya Misri siyo ya Israel
  12. nyanyantole

    TANZIA Mfanyabiashara Emilian Woiso afariki dunia

    Mkuu PAMOJA na yote nachojua Yesu akikupenda Mali yote ya dhuluma hutoweka.na kuanza na upya na huo ndio wokovu sasa.
  13. nyanyantole

    Waarabu ni wanafiki na waoga mno, wameshindwa kuisaidia Palestina na Iran

    Iran sio waarabu Ni Persian.hata wao wana vurugu ya ndan kwa ndan sbb Islamic walibeba nchi hivo wapinzan hawawakubal kikiwaka si ajabu Israel ikapata wasaidiz wa ndan kuwabonda watawala
Back
Top Bottom