Na wewe ingia kwenye mtandao uone aliingia deni la taifa likiwa tsh ngap? Na sasa ni tsh. ngap? Ndipo utakuja na jibu sahihi pia ingia uone aliingia kuna ufasadi kiasi gani na sasa kuna ufisadi kiasi gani?
This guy is from which kind of country. Nakubaliana na watu kuwa ukiwa mwana ccm hata wakiweka sheria ya kuua wazazi wako utasema iko sawa, ili mradi haikui wewe. Kumbuka leo inamchinja ndugu yako au mtoto wako uchungu utausikia tu wewe furahi na kisema haoni ubaya wowote.
yaan una MA halafu huna kazi,we kweli kungu.ru mimi hata cheti sina ninasomesha,kuwalisha na huduma nyingne nzur wanazipata kama bina za afya za kutibiwa mataifa makubwa sio amana au kamuhimbili,usafiri wa kutembelea na nyumba nzur za kuish.njoo kwangu nikuajiri
Wakuu kuna tangazo la kazi la march 11 2015 lilitolewa na utumishi, walitangaza kazi kama afisa ndorobo, afisa mifugo mkufunzi, mchora ramani, mtathimini ardhi, mhadisi daraja la pili- marine engineer.
Lakini nimeona tangazo la usaili fani nyingine zote wameitwa isipokuwa marine engineer...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.