The U.S Needs to Stop Ignoring Tanzania's Media Crackdowns

The U.S Needs to Stop Ignoring Tanzania's Media Crackdowns

sheria imeshasainiwa, kama watazuia misaada yao wazuie tu, hii n chi huru hatuwez pangiwa. binafsi cjaona ubaya wa hiyo sheria ya takwimu na mitandao, haija mzuia mtu uhuru wake, ila imeweka utaratibu wa matumizi ya takwimu na matumiz bora ya mitandao. nawasihi watz somen sheria na kupata ufafanuz badala ya kuaza kulaum na kulalamika tu. sheria imeshapitishwa na inaaza kutumika tar1 july, 2015. tuache kupotosha
 
sheria imeshasainiwa, kama watazuia misaada yao wazuie tu, hii n chi huru hatuwez pangiwa. binafsi cjaona ubaya wa hiyo sheria ya takwimu na mitandao, haija mzuia mtu uhuru wake, ila imeweka utaratibu wa matumizi ya takwimu na matumiz bora ya mitandao. nawasihi watz somen sheria na kupata ufafanuz badala ya kuaza kulaum na kulalamika tu. sheria imeshapitishwa na inaaza kutumika tar1 july, 2015. tuache kupotosha

This guy is from which kind of country. Nakubaliana na watu kuwa ukiwa mwana ccm hata wakiweka sheria ya kuua wazazi wako utasema iko sawa, ili mradi haikui wewe. Kumbuka leo inamchinja ndugu yako au mtoto wako uchungu utausikia tu wewe furahi na kisema haoni ubaya wowote.
 
sheria imeshasainiwa, kama watazuia misaada yao wazuie tu, hii n chi huru hatuwez pangiwa. binafsi cjaona ubaya wa hiyo sheria ya takwimu na mitandao, haija mzuia mtu uhuru wake, ila imeweka utaratibu wa matumizi ya takwimu na matumiz bora ya mitandao. nawasihi watz somen sheria na kupata ufafanuz badala ya kuaza kulaum na kulalamika tu. sheria imeshapitishwa na inaaza kutumika tar1 july, 2015. tuache kupotosha

Ni sawa sheria imepishapitishwa kwa kusainiwa na Rais na ni kweli kuna baadhi ya mambo ni mazuri km sheria ya kumtaka mtu kutoa taarifa za takwimu e.g wkt wa sensa watu kugoma au kuia watu kushiriki na nk, lkn kuna mengine siyo sahihi, naomba utujibu maswali haya kwa kifupi;-
1. kulikuwa na sababu gani ya kuukimbikiza mswada
2.Wewe ukinitumia ujumbe mbaya kwa nini mimi nishtakiwe? me nikiona ujumbe mbaya si nitaufuta.
 
Rais amewajibu wahisani kuwa iwapo watalazimisha nchi ataikataa misaada yao. kwa kuwa Rais wetu anajua kuwa msaada wa word bank kwenye mambo ya takwimu siyo muhimu sana km misaada ya maendeleo au kwenye afya. basi Rais wetu awaambie wamarekani kuhusu misaada yao ya PEPFAR na MCC wasitoe.
 
Kutoa taarifa za Uongo
16.- Mtu yeyote anayetoa taarifa, data au maelezo kwa njia ya picha, maandishi, alama au aina nyingine yoyote taarifa, data, kwenye m fumo wa kompyuta, endapo au maelezo hayo ni ya uongo, yanapotosha au yasiyo sahihi, atakuwa ametenda kosa, na akipatikana na hatia atalipa faini isiyopungua shilingi milioni tatu au kutumikia adhabu ya kifungo kisichopungua miezi sita au vyote.
 
Rais amewajibu wahisani kuwa iwapo watalazimisha nchi ataikataa misaada yao. kwa kuwa Rais wetu anajua kuwa msaada wa word bank kwenye mambo ya takwimu siyo muhimu sana km misaada ya maendeleo au kwenye afya. basi Rais wetu awaambie wamarekani kuhusu misaada yao ya PEPFAR na MCC wasitoe.

Bravo Mr.President...mambo yetu ya ndani wanayatakia nini??hata kama tunauwana inawahusu nini..wao kama wanajiona wanatujali mbona hawaji kutasaidia mafuriko mabondeni..tena Mh.Rais nakuomba usiende tena huko kwao wawekee mgomo.... tuone kama hawakuomba msamaha
 
Ni sawa sheria imepishapitishwa kwa kusainiwa na Rais na ni kweli kuna baadhi ya mambo ni mazuri km sheria ya kumtaka mtu kutoa taarifa za takwimu e.g wkt wa sensa watu kugoma au kuia watu kushiriki na nk, lkn kuna mengine siyo sahihi, naomba utujibu maswali haya kwa kifupi;-
1. kulikuwa na sababu gani ya kuukimbikiza mswada
2.Wewe ukinitumia ujumbe mbaya kwa nini mimi nishtakiwe? me nikiona ujumbe mbaya si nitaufuta.
Kaka nakushukuru kwa kuona umuhimu wa sheria ya Takwimu ya 2013. Kumbuka muswada wa Takwimu haukukimbizwa, kwa mara ya kwanza ulipelekwa Bungeni 2013.
Siwezi kujibu masuala ya sheria ya mtandao ila hii ya Takwimu haizuii mtu au hata gazeti kuhoji takwimu za NBS. Hii inazuia kupotosha umma kwa kutumia takwimu zilizotolewa na NBS KWA MAKUSUDI na wala si kwa bahati mbaya.
 
Ok, sijitambui. washington post siyo udaku wewe. hata km ingekuwa ni udaku ukweli ni kwamba gazeti limetoa repoti ya kinachozungumzwa. kwaani ni uongo mswada haukuwa wa dharula? kuna tatizo gani mpaka kuwe na udharula hiyo mpaka vikao vya usiku? km siyo woga wa CCM kuandikwa kwa uchafu wake kuelekea uchaguzi mkuu octoba? hii ni janja ya kutaka kutuziba midomo, sasa nje nao wazibeni midomo.

Hakika wanatumia kila mbinu hiyo haitoshi mb wakapunguza pia ili kupunguza wingi wa watu kwenye net
 
Bravo Mr.President...mambo yetu ya ndani wanayatakia nini??hata kama tunauwana inawahusu nini..wao kama wanajiona wanatujali mbona hawaji kutasaidia mafuriko mabondeni..tena Mh.Rais nakuomba usiende tena huko kwao wawekee mgomo.... tuone kama hawakuomba msamaha


Anayoyasema siyo uhalisia; soma alivyokuwa akimwomba Rais obama alipokuja Tanzania


Rais Kikwete amempongeza Rais Obama kwa kuendelea kuiunga mkono Tanzania na Afrika, lakini akataka Marekani kuunga zaidi juhudi za Tanzania katika jitihada za kufuta umasikini, kuhakikisha kuwa kuna chakula cha kutosha katika Afrika kwa kuunga mkono jitihada za kuboresha kilimo, kuendelea kuunga mkono jitihada za kuboresha elimu na hasa ile ya sayansi, na kuendeleza mapambano dhidi ya magonjwa ya malaria, ukimwi na kifua kikuu.

Rais Kikwete pia ameutaka uongozi wa Rais Obama kuendeleza na juhudi za kupunguza vifo vya akinamama wakati wa uzazi na kuisadia Tanzania na Bara la Afrika kukabiliana na athari za kuvurugika kwa uchumi duniani.
 
Kaka nakushukuru kwa kuona umuhimu wa sheria ya Takwimu ya 2013. Kumbuka muswada wa Takwimu haukukimbizwa, kwa mara ya kwanza ulipelekwa Bungeni 2013.
Siwezi kujibu masuala ya sheria ya mtandao ila hii ya Takwimu haizuii mtu au hata gazeti kuhoji takwimu za NBS. Hii inazuia kupotosha umma kwa kutumia takwimu zilizotolewa na NBS KWA MAKUSUDI na wala si kwa bahati mbaya.


Hata sisi hatukatai kila kitu kilichomo muswada ni mzuri lkn kuna mambo ya kuchuja, mfano soma hapa chini unasemaje kuhusu hilo.

Kutoa taarifa za Uongo:
16.- Mtu yeyote anayetoa taarifa, data au maelezo kwa njia ya picha, maandishi, alama au aina nyingine yoyote taarifa, data, kwenye m fumo wa kompyuta, endapo au maelezo hayo ni ya uongo, yanapotosha au yasiyo sahihi, atakuwa ametenda kosa, na akipatikana na hatia atalipa faini isiyopungua shilingi milioni tatu au kutumikia adhabu ya kifungo kisichopungua miezi sita au vyote.
 
Kaka nakushukuru kwa kuona umuhimu wa sheria ya Takwimu ya 2013. Kumbuka muswada wa Takwimu haukukimbizwa, kwa mara ya kwanza ulipelekwa Bungeni 2013.
Siwezi kujibu masuala ya sheria ya mtandao ila hii ya Takwimu haizuii mtu au hata gazeti kuhoji takwimu za NBS. Hii inazuia kupotosha umma kwa kutumia takwimu zilizotolewa na NBS KWA MAKUSUDI na wala si kwa bahati mbaya.

Safari hii wakati unapelekwa ulipelekwa chini ya hati ya dharula sasa sijui ilikuwa ipi hyo
 
sheria imeshasainiwa, kama watazuia misaada yao wazuie tu, hii n chi huru hatuwez pangiwa. binafsi cjaona ubaya wa hiyo sheria ya takwimu na mitandao, haija mzuia mtu uhuru wake, ila imeweka utaratibu wa matumizi ya takwimu na matumiz bora ya mitandao. nawasihi watz somen sheria na kupata ufafanuz badala ya kuaza kulaum na kulalamika tu. sheria imeshapitishwa na inaaza kutumika tar1 july, 2015. tuache kupotosha

Ukitumiwa kitu chochote bila ridhaa yako ni kosa…!!!
 
Kama alimuomba Obama ni wakati ule kabla hawajaingilia sheria zetu.Hawa watu siyo wazuri..Rais wetu akienda kwao hawampokei airport,ona tulivyompokea rais wa msumbiji na Rais wetu anakwenda kwao mara kwa mara mbona wao haji.Rais wetu alipolazwa hospitaki huko kwao Rais wao hakwenda kumuangalia.tuachane nao na Mh.Rais wetu asiende kwao,tunawaingizia pesa za kigeni nyinhi sana wakati Rais wetu anapokwenda huko kwani kwani huwa na msafara wa maofisa na wafanya biashara wengi.
 
Hizi sheria zote zitakuja kuwa reviewed baada ya uchaguzi, kwa sasa subirini kwanza uchaguzi upite.
 
Anayoyasema siyo uhalisia; soma alivyokuwa akimwomba Rais obama alipokuja Tanzania


Rais Kikwete amempongeza Rais Obama kwa kuendelea kuiunga mkono Tanzania na Afrika, lakini akataka Marekani kuunga zaidi juhudi za Tanzania katika jitihada za kufuta umasikini, kuhakikisha kuwa kuna chakula cha kutosha katika Afrika kwa kuunga mkono jitihada za kuboresha kilimo, kuendelea kuunga mkono jitihada za kuboresha elimu na hasa ile ya sayansi, na kuendeleza mapambano dhidi ya magonjwa ya malaria, ukimwi na kifua kikuu.

Rais Kikwete pia ameutaka uongozi wa Rais Obama kuendeleza na juhudi za kupunguza vifo vya akinamama wakati wa uzazi na kuisadia Tanzania na Bara la Afrika kukabiliana na athari za kuvurugika kwa uchumi duniani.

mbona unatoa taarifa za zaman, umesikia kauli ya raisi ya jana? wtz tunatakiwa kuunga mkono kauli ya raisi, koz ifike time wahisani wasitupangie kila wanachotaka wao. tukiwa na nidham na matumiz tunaweza kujitegemea,
 
mbona unatoa taarifa za zaman, umesikia kauli ya raisi ya jana? wtz tunatakiwa kuunga mkono kauli ya raisi, koz ifike time wahisani wasitupangie kila wanachotaka wao. tukiwa na nidham na matumiz tunaweza kujitegemea,


Ni kweli lakini uwezo huo hatuna kwa sasa, tukiweza kukomesha ufisadi, wizi, na kuboresha uwajibikaji ndani ya serikali yetu tutaweza, lkn kwa sasa budget yetu ni tegemezi kutoka nje kwa zaidi ya 40% hatuwezi kuacha kutukanwa, angalia tu walivyo simamisha misaada yao ya juzi tu, shilingi imeshuka, uchumi uko hoi na serikali inahangaika pa kupata pesa.

wenzetu kwenye mitandao ndiyo sehemu ya inteligensia/usalama wa taifa kupata data muhimu, hata wewe ni shahidi ni mangapi umeyasikia kupitia mitandao? kashfa nyingi zilisaidiwa kuibuliwa na mitandao hasa jamii forum. sasa serikali baadae itabidi itunge sheria nyingine ili kutafuta data. watu wanaogopa sasa kuchangia kwenye mitandao, kuogopa kufungwa serikali itapoteza zaidi kuliko ingeacha.
 
mbona unatoa taarifa za zaman, umesikia kauli ya raisi ya jana? wtz tunatakiwa kuunga mkono kauli ya raisi, koz ifike time wahisani wasitupangie kila wanachotaka wao. tukiwa na nidham na matumiz tunaweza kujitegemea,


Ardhi yooote tuliyo nayo bado tunataka obama aje kutupatia chakula, maralia tunataka obama atupatie net ya mbu? kuna mambo ya mhimu Rais wetu anaweza kuomba kama kuboresha miundo mbinu ya reli, usafiri ktk jiji la Dar, bandari na uwekezaji kwenye viwanda siyo chakula kwa ardhi tuliyo nayo.
 
Ardhi yooote tuliyo nayo bado tunataka obama aje kutupatia chakula, maralia tunataka obama atupatie net ya mbu? kuna mambo ya mhimu Rais wetu anaweza kuomba kama kuboresha miundo mbinu ya reli, usafiri ktk jiji la Dar, bandari na uwekezaji kwenye viwanda siyo chakula kwa ardhi tuliyo nayo.

hakuomba chakula kwa obama, nahisi ulimnukuu vibaya, aliomba wasaidie kuboresha kilimo kama vile kujenga maghala ya kisasa ili tuhifadhi mazao kwa mda mrefu
 
Back
Top Bottom