Recent content by nyanswidavid

  1. N

    Nina Utata Dhidi ya Vietel Tanzania Company

    Jamani hao ni matapeli angalieni mwisho wa maombi ni 30/05/14 na usaili ni kuanzia tarehe 01/5/14 hadi 30/6/14 je hao akili zao ni timamu?.
  2. N

    Updates kutoka Advans Bank Tanzania na UTT Microfinance Plc

    kaka bado sana endelea kusubili kila kitu kitawekwa hewani
  3. N

    Call for interview

    wewe fani yako ni ipi? mi nadhani umeitwa kutokana na ujuzi ulionao mwenyewe na chamsingi ni kuwataya kwa lolote.
  4. N

    Nimemfumania mke wa rafiki yangu na ameniingizia zaidi ya 1,200,000/= kwa njia ya M-PESA

    Duu aa kweli hayo ni mang`ana. mbona hiyo sio siri tena? wewe ulikosea tokea awali kama ulikuwa na lengo la kusema muda uleule ungempigia rafikiyako haponingekuona wa maana sana. hapo weboraukaekimya tu
  5. N

    Naomba msaada kuhusu huyu mpenzi

    Kiswahili hicho baba mlikuwaje wapenzi wakati mwenyewe unasema hamjawahi onana?,Halafu inaonesha wewe ni muoga ilembaya unachohofia ni nini? unajipanga kutongoza wakati hatasura yake huijui utamkuta yuko tofauti na unavyotarajia kaka onananae kwanza ukiridhika jinsialivyo ndouwe na uhakika na...
  6. N

    Mpenzi tujenge nyumba mbili ili tukiachana kila mtu awe na nyumba yake!

    hapo hamna ndoa na huyo jamaa awemakini sana atatolewa uhai na huyo mkewake.
  7. N

    NBC Bank Tanzania

    Hiyo bank inaelekea shimoni yaani hata huduma zao kwa sasa ni hovyo sana ukienda makao makuu hapafai.
  8. N

    Mwajiriwa wa serikali

    Ukiambiwa hivyo ndivyo ilivyo haijabadili chochote ila tambua yakuwa hiyo ni kampuni ya mtu binafsi hivyo wewe ni mtumishi wa kampuni husika ndiyo iliyokuajili sio serikali.
  9. N

    Mwajiriwa wa serikali

    Nadhani hilo jibu hapo linajitosheleza,kuna mashirika ya uma yaliyo chini ya serikali na kuna yanayo jiendesha yenyewe bila ya kutegemea ruzuku kutoka serikalini na kunamengine ambayo yanapokea ruzuku kutoka serikalini kuna serikali za mitaa kuna taasisi zilizoko chini ya serikali na kuna...
  10. N

    Natafuta kazi Dar es Salaam

    jaribu kujieleza vizuri ili ueleweke unataka kazi ya aina gani? Wewe binafsi elimu yako ni ya kiwango gani? jinadi ili utoe ushawishi kwa watu wakusaidie
  11. N

    Nimekosa interview ya UDOM sababu ya kutokuwa hewani(simu)

    Pole sana lakini usikate tamaa jipe moyo ipo siku utafanikiwa
  12. N

    Jihadhari Na Mwenye Hii Namba

    huyo jamaa tapeli mwenye namba 0713115368 anaitwa Frank Malegi.
  13. N

    Jihadhari Na Mwenye Hii Namba

    Lakini hapo kuna watu wanaokotwa sana tu.
  14. N

    Madereva wanahitajika

    kuoa na kuolewa inakujaje hapo jamani? ajira za siku hizi bwana
Back
Top Bottom