Lengo lako lilikuwa hili, hayo mengine porojo.
Huwezi kamua maziwa kwa ng'ombe ambae hujamlisha akashiba.
Hiyo PAYE unayolipa ni kutoka kwenye mshahara ambao unalipwa either na serikali au kampuni.
Tuachane drama kwa watu wengine kwa vile tu wewe unakula unashiba kwa mshahara wa serikali...
Kuna watu humu wanajionaga wana akili kubwa kuliko wengine.
Wewe kama kitu hukipendi usilazimishe na wengine wakichukie. Na usiwatishe watu kwa sababu ya mihemko na imani yako uliyonayo juu ya vitu fulani ambavyo wewe huvipendi.
Hata uwepo wa shetani una faida kubwa sana hapa duniani
Sent...
Ni moja ya wanaume wenye tabia za ajabu. Itakuwa na wewe ulikuwa ujamla sister yako ndo maana umeumia hivo. Ebu wanaume tuacheni ujinga wa kuwalilia dada zetu wanapoolewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza hakuna fao la kujitoa, kuna fao ya kupoteza au kukosa ajira. Na hili ni maalumu kwa wafanyakazi wenye mikataba ya muda na kwa wale walioachishwa kazi na waajiri wao.
Kwa wale wafanyakazi wanaoacha kazi wao hakuna mafao
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi mambo tunafurahia matamko ila hali halisi haiko hivyo tunavyojiaminisha. Juzi nilikuwa ofisi fulani ya PSSSF, ni balaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo unalinganisha mtoto na mtu mzima. Halafu unamsifia mtoto kukua kwa kasi kuliko mtu mzima. Ebu jaribu kutumia akili kidogo na uache mihemko na uteam.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.