Recent content by NyaniMwekundu

  1. N

    jema lingine toka kwa Diamond-kwa mara ya kwanza BET wacheza video ya Tanzania

    Jamaa kwanamna moja au nyingine anajitahidi katika kazi yake lakin misifa anayopewa mmh
  2. N

    MyElimu.com - Mtandao unaowakutanisha wanafunzi wa sekondari Tanzania

    nashukuru ndugu kwa kuanzisha kitu kizuri. Mungu awabariki
  3. N

    Michelle Obama joins The #bringbackourgirls Campaign

    jeshi la naija linavunga vunga tu lol
  4. N

    Maajabu ya karafuu

    inatibu vipi vidonda vya tumbo?
  5. N

    Ugonjwa gani huu...

    Nisiku ya 8 leo nasumbuliwa na tatizo la tumbo pamoja na kupata haja kubwa kidogo iliyo changanyikana na damu damu au kama asali fulani ivi pamoja na maumivu wakati wa kujisaidia.....nilikwenda zahanat wakanipa panaldo na metronidazole ambayo nimetumia muda wa siku tano na bado hali inakuwa...
  6. N

    Kingwedu "nimejipanga vya kutosha kuingia bungeni 2015"

    bado kinyambe .masanja and mpoki
  7. N

    Kwanini watahiniwa wakujitegea hufeli?

    Wapendwa poleni na majukumu ya kilasiku. Mwenzenu ninapenda kujua katika swala hili . kwanini watahiniwa wengi wa kujitegemea hawafanyi vizuri katika mitihani yao? Pili kuna tofauti zozote za usahishaji kati ya watahiniwa binafsi na watahiniwa wa shule. Tatu ni kwelikwamba umaarufu wa kituo cha...
  8. N

    Hivi ni kweli mikoa ya Njombe na Iringa mtihani wa darasa la saba umerudiwa kusahihishwa?

    mkuu ndio nasikia kwako. Ila kuna tatizo moja kuna watoto walipangiwa,kwenda kwenye shule za vipaji maalamu lakin wamezuiliwa hapo sijajua nin utata
  9. N

    Waliofeli Kidato cha Pili kuendelea na Masomo

    alafu walio pass wote ni wale wanafunzi walio feli kidato cha nne mwaka 2012 na kurudia kidato cha 2
  10. N

    Njia za asili za kukuza uume

    mwaka mmoja sasa umepita tangu nisome habari hiyo hapa Inlargment.com nikajaribu kwa kuzani nami ntakuwa na muogo wa jahng'ombe lo kilicho nipata nimekuwa limbukeni wa kupiga punyeto mpaka sasa naha!ha jinsi ya kuacha mtoa maada anajaribu kuwaharibu watu wengine um
  11. N

    African Satellite World and Sat Gear

    nani anaweza kunielekaza jinsi ya kupata znbc1 &2 kutoka zambia maana jamaa wanarusha game zote epl and uefa
  12. N

    Punyeto ni nini na nini madhara yake?

    vina saidia nin mkuu?
Back
Top Bottom