Kwa wao kumtambua kuwa ni ‘mheshimiwa Rais’, hapo wamekosea sana.
Samia siyo Rais maana hakuchaguliwa kihalali na Watanzania.
Oktoba 29 hakuna uchaguzi uliofanyika.
Hivi huyu Samia ni Rais kwa mujibu wa uchaguzi gani?
Wote tunajua Oktoba 29 hakukufanyika uchaguzi.
Wote tunajua tume ya uchaguzi ilitangaza matokeo ya uongo.
Wote tunajua Samia hakupigiwa kura na watu milioni 31 kati ya milioni 32 waliodaiwa na tume kuwa walijitokeza kupiga kura.
Wote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.