Wengine ndo mnagundua leo kuwa waziri D. Gwajima ana ‘kitu’?
Some of us started giving her her flowers long time ago 😉.
Dkt. Gwajima D nakuona…..
I love your work ethic ma’am.
You go above and beyond the call of duty to serve the people.
For that, you get a round of applause 👏 and a...
Dah! Kutoka mbeba maboksi mpaka wakili msomi! Umenipendelea sana. Usomi huo mi mbeba maboksi niutoe wapi? 😀
Hata hivyo, ahadi ni deni. Nimechoka kama mbwa, lakini naamini katika kutimiza ahadi.
Haya, twende kazi;
Kama nilivyosema hapo awali, maneno yote mawili, ‘onesha’ na ‘onyesha’, ni...
Karibu kila kitu chenye ubaya huko Usukumani sababu zake huwa ni uchawi!
Hata ukipata ajali ya gari au ajali yoyote ile, sababu ni uchawi.
Hata ukiugua halafu itokee umekufa, sababu ni uchawi tu.
Kwa akili za watu wengi wa Usukumani, kila kitu kilicho hasi sababu yake ni uchawi tu.
Yaani...
Sipo nyumbani sasa hivi. Nikirudi nitakuwekea picha ya ukurasa yenye neno ‘onyesha’ na fasıli yake toka kamusi tatu tofauti zilizochapiswa na taasisi tofauti.
Ni vigumu sana mimi kukubali kwamba, wataalamu tofauti wa lugha ya Kiswahili, kutoka taasisi tofauti tofauti, wote wakosee katika...
Ukitumia ‘onesha’, ni sahihi:
Atakayetumia tumia ‘onyesha’, naye atakuwa sahihi.
Sijui uko wapi. Ila kama upo Tanzania, kama unaweza, nunua kamusi ya Kiswahili sanifu, hususan ya toleo lililo jipya [2023/2024], halafu uyaangalie hayo maneno usome na maelezo yake.
Ukikuta ni tofauti na maelezo...
Oxford nao wamekosea?
Hapana, wote hawajakosea. Wako sahihi.
Pia, zote, ‘onyesha’ na ‘onesha’ ni sahihi.
Kwa nini zote ni sahihi? Jibu ni lahaja.
Kiswahili kinazungumzwa Afrika Mashariki na Kati.
Hili ni eneo kubwa. Hivyo suala la lahaja za lugha haliepukiki.
Kimvita [Kiswahili cha Mombasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.