Nadhani sasa ni dhahiri kuwa mtu ukiua watu wengi, ni lazima uathirike kisaikolojia!
Haiwezekani hata kidogo uue maelfu ya watu wasio na makosa yoyote yale halafu akili yako iendelee kuwa timamu.
Maneno aliyoyaongea huyu bibi ambaye ndo katibu mkuu wa CCM, yanastaajabisha mno.
Yaani kabisa...
Sidhani kama hilo ni suala la nani ni muamuzi wa huu ni uchunguzi huru na ule si uchunguzi huru.
Serikali ya Samia ndo imeua watu kwa maelfu.
Serikali ndo mtuhumiwa mkuu.
Inaingia kweli akilini mwako kuwa serikali hiyo hiyo inayotuhimiwa kuwaua watu ndo iunde tume ya kuchunguza hayo mauaji...
Lakini Fundi, mbona tayari hao Wamagharibi washaainisha nini ambacho kitawaridhisha….
Baadhi ya hayo mambo ni kumuachia Tundu Lissu na wafungwa wengine wa kisiasa.
Uchunguzi ulio huru wa hayo mauaji ukifuatia na uwajibikaji.
Mabadiliko katika mfumo wa uchaguzi ambayo yataweka mazingira yaliyo...
Vyovyote vile, ushahidi wa mauaji waliyoyafanya ni overwhelming.
Katika kuua kwao hawakutumia akili. Walishindwa kutambua kuwa tupo kwenye zama za tofauti kabisa sasa hivi.
Huwezi kufanya mauaji kama yale hadharani namna ile halafu ushahidi ukakosekana.
Pamoja na kuwa na hizo connections...
Huyo Nyalandu ni senators wapi ambao ni rafiki zake?
Kwa ushahidi uliopo wa hayo mauaji, uwajibikaji haukwepeki.
Na ndo maana unaona hao CCM wanapata shida sana kuyazungumzia hayo mauaji.
Mulamula? Seriously?
She doesn’t have the best communication skills.
Vyovyote vile, kwa mauaji waliyoyafanya, hata hata ungemhusisha Abraham Lincoln au Ronald Reagan, uwajibikaji wa Samia na wenzake haukwepeki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.