Recent content by Nyani Ngabu

  1. Nyani Ngabu

    #COVID19 Waziri Gwajima is something else! Akimbia kuthibitisha yuko fit baada ya chanjo

    Yes, Dkt. Gwajima D anazidi tu kunifurahisha. Ingekuwa ni juu yangu mimi, ningeupandisha mshahara wake maradufu….
  2. Nyani Ngabu

    #COVID19 Waziri Gwajima is something else! Akimbia kuthibitisha yuko fit baada ya chanjo

    Wengine ndo mnagundua leo kuwa waziri D. Gwajima ana ‘kitu’? Some of us started giving her her flowers long time ago 😉. Dkt. Gwajima D nakuona….. I love your work ethic ma’am. You go above and beyond the call of duty to serve the people. For that, you get a round of applause 👏 and a...
  3. Nyani Ngabu

    Kiswahili fasaha kinatoweka

    Haha….karibu! Natumaini utakuwa walau umejifunza kitu hapo….
  4. Nyani Ngabu

    Kiswahili fasaha kinatoweka

    Dah! Kutoka mbeba maboksi mpaka wakili msomi! Umenipendelea sana. Usomi huo mi mbeba maboksi niutoe wapi? 😀 Hata hivyo, ahadi ni deni. Nimechoka kama mbwa, lakini naamini katika kutimiza ahadi. Haya, twende kazi; Kama nilivyosema hapo awali, maneno yote mawili, ‘onesha’ na ‘onyesha’, ni...
  5. Nyani Ngabu

    Atolewa jiwe lenye uzito wa gram 800 kwenye kibofu cha mkojo kwa upasuaji

    Karibu kila kitu chenye ubaya huko Usukumani sababu zake huwa ni uchawi! Hata ukipata ajali ya gari au ajali yoyote ile, sababu ni uchawi. Hata ukiugua halafu itokee umekufa, sababu ni uchawi tu. Kwa akili za watu wengi wa Usukumani, kila kitu kilicho hasi sababu yake ni uchawi tu. Yaani...
  6. Nyani Ngabu

    Tanzania kuanza kutumia Hadhi Maalumu badala ya Uraia Pacha

    Bullshit! IDGAF about hadhi maalumu or whatever it’s called.
  7. Nyani Ngabu

    Kiswahili fasaha kinatoweka

    Sipo nyumbani sasa hivi. Nikirudi nitakuwekea picha ya ukurasa yenye neno ‘onyesha’ na fasıli yake toka kamusi tatu tofauti zilizochapiswa na taasisi tofauti. Ni vigumu sana mimi kukubali kwamba, wataalamu tofauti wa lugha ya Kiswahili, kutoka taasisi tofauti tofauti, wote wakosee katika...
  8. Nyani Ngabu

    TANZIA Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi (KDF) Jenerali Francis Ogolla afariki katika ajali ya Helikopta ya Jeshi

    Hii ajali imenikumbusha General Bipin Rawat, CDS wa India, aliyekufa kwenye ajali ya helikopta.
  9. Nyani Ngabu

    Kiswahili fasaha kinatoweka

    Dah! Nimepata shida kweli kusoma na kuelewa !
  10. Nyani Ngabu

    Kiswahili fasaha kinatoweka

    Ukitumia ‘onesha’, ni sahihi: Atakayetumia tumia ‘onyesha’, naye atakuwa sahihi. Sijui uko wapi. Ila kama upo Tanzania, kama unaweza, nunua kamusi ya Kiswahili sanifu, hususan ya toleo lililo jipya [2023/2024], halafu uyaangalie hayo maneno usome na maelezo yake. Ukikuta ni tofauti na maelezo...
  11. Nyani Ngabu

    Kiswahili fasaha kinatoweka

    Duh! 🤣😀🤣 Nimecheka sana maana Nilikuwa sielewi kabisa. Kwangu ‘KO’ ni ‘knockout’. 🤣
  12. Nyani Ngabu

    Kiswahili fasaha kinatoweka

    Oxford nao wamekosea? Hapana, wote hawajakosea. Wako sahihi. Pia, zote, ‘onyesha’ na ‘onesha’ ni sahihi. Kwa nini zote ni sahihi? Jibu ni lahaja. Kiswahili kinazungumzwa Afrika Mashariki na Kati. Hili ni eneo kubwa. Hivyo suala la lahaja za lugha haliepukiki. Kimvita [Kiswahili cha Mombasa...
Back
Top Bottom