Recent content by Nyani mtoto

  1. N

    Hivi msiokunywa pombe usingizi huwa mnaupataje?

    Pombe yetu mbususu, chakata sawasawa uone kama hupati usingizi. Ukiamka endelea na kuchakata uone kama hupati usingizi.
  2. N

    Baada kushindwa kupambana na Hamas Israel inapambana na raia na watoto ililenga moja kwa moja waokoaji wa Kipalestina hospital Nasser. Khan Younis

    Mambo ya pale middle east mengine tuyaachage tuu, vita sikuzote inamikakati mingi mnoo, utakuta hao waandishi wa habari ndio magaidi wenyewe na hiyo hospitali chini yake ndio kuna ngome ya magaidi. Dunia kwa juu inaonyeshwa watoto na wanahabari wasiokuwa na hatia lakini nyuma yake ni mipango ya...
  3. N

    Nimemkataza mke wangu kwenda kwenye Marathon

    Sikujua kama kuna wake za watu wanaendaga huko.
  4. N

    NI marufuku mke kulala na nguo na inashauriwa mume alale na kanzu

    Hizi ni sera za chama gani? Maana kuna mgombea anamwaga sera za kupiga marafuku uchongaji, uingizwaji, uuzwaji na ulaliaji kitanda cha sita kwa sita. Anapendekeza kitanda cha 2x2 kwa wanandoa. Ukijumlisha na hili lako mleta mada mambo yatakuwa mpwitompwito tuu.
  5. N

    Watanzania Kama KARNE hii tupo hivi nasadiki kusema Mwalimu Nyerere(Baba wa Taifa) alipambana Sana

    Ndugu mleta mada nadhani ungetofautisha uzalendo na ujinga. Wananchi wa zama za J. K. Nyerere kweli wengi walikuwa wajinga kielimu ila walikuwa wazalendo na wafianchi kwelikweli kuanzia ngazi ya kaya mpaka taifa na kiwango cha ubinafsi kwa viongozi wa umma kilikuwa chini mnoo. Kiongozi wa umma...
  6. N

    Watumishi wa Mungu msiendekeze siasa mtaendelea kuumbuka pale unabii wenu wa kichawi na kilozi unapokwama nyie wapuliza mitungi ya gesi

    Kuna wanaojiita watunishi wa mungu lakini wanachofanya ni sawasawa na anachofanya mganga na mpiga ramli tuu. Hivyo nduguyangu usihadaike na makelele yao.
  7. N

    Polepole: Kuna mtu alikuja kuniambia kuwa kiongozi wa awamu ya 5 atakufa

    Naunga hoja mkono. Aweke wazi yote anayoyajua kabla hajanyamazishwa kwa namna yoyote iwayo. Achukue mfano wa akina Edward Snowden wa CIA kipindi kile. Anaremba mwandiko wakati muda wa mtihani umeisha
  8. N

    Kitu Gani Hiki Kusheherekea Mauti?

    Hapohapo dishi limekamata usiachie, angekuwa na uchungu wa kweli angehusianisha anachoandika na kauli hii kwenye moja ya aya zake. Nami nimalizie kusema kwa mwalimu wangu Mohamed kuwa “usiangalie ulipodondokea bali angalia ulipojikwaa” Wasalaam.
  9. N

    Humphrey Polepole atazungumza na umma leo Agosti 08, 2025 saa sita mchana

    Leo tena jamani? Mimi naona aseme yote amalize maana tangazo hili likitoka tuu ni usumbufu kwa watumiaji wengine wa mtandao
  10. N

    Sindano hii Chungu ila ina dawa inayotibu iwafikieni popote pale Wanawake na Wanaume

    Mitano tena, au nasema uongo nduguzangu? 😆😆😆😆😆😆
  11. N

    Nipeni ushauri maana nataka kuivunja hii ndoa

    Chanzo ni wewe nduguyangu jipeleleze urekebishe penye mapungufu. Halafu mwanaume aliyekamilika haachi mke, ni mke ndio anaomba talaka.
Back
Top Bottom