Hvi jamani ni muhimu kuchukua simu ya mpenzi wako ili kujua kunanini kwenye inbox kama ishara ya mapenzi ya kweli kwa mpenzio au ni ujinga na ulimbukeni kwenye mapenzi sababu kuna hili limetokea.
kuna jamaa mmoja alichukua simu ya mpenzi wake akakuta mpenzi wake anapongezwa kwa...
kweli kabisa kaka mana CCM inakosa uwajibikaji na utekelezaji wa katiba ya chama. CCM imejikita zaidi kwenye kutetea ufisadi na kuwatetea wanajikita ufisadi na si matatizo ya watanzania mana sasa ni ali mpya, nguvu mpya na kasi mpya kwenye kulinda na kutetea mafisadi
wachache wanafaulu na wengi wanafeli ila akuna malengo yeyote yamana kuokoa hii elimu yani hata kwenye vyuo akuna wakufunzi wakutosha je elimu yetu tunaipeleka wapi jamani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.