Chadema mnajidhalilisha kujibizana na huyu,kama hamjui huyu mtu anataka kujiimarisha na kurudi upya kupata umaarufu kupitia kwenu baada ya Bashite kumnyoosha na kumshikisha adabu na kuanza kulialia kila siku kutaka huruma za watu,wanasiasa wengi wa ccm wanapata vyeo au umaarufu kwa kupambana na...
Matusi mengine haya hapa kutoka kwa Juliana Shonza
Ndugu wana JF,
Nimepokea kwa masikitiko makubwa kashfa zinazoenezwa dhidi yangu juu ya yale yaliyoandikwa na exaud mamuya na Ben Saanane kuhusu mimi kama mmoja wapo wa kundi la masalia kutumika na zitto kuwachafua viongozi wa chama pamoja...
Maajabu Meya wa Ilemela chadema Matata kasimama kwenye jukwaa la ccm na kusema ccm oyee,kidumu chama cha mapinduzi.Hii ni mara ya tatu sasa,mara ya kwanza alitangaza kuwa anarudi nyumbani na uchaguzi ujao atagombea kupitia ccm
Huna hata aibu kijana,Tanzania nzima inajua kuwa hiki chama kimeanzishwa kwa malengo machafu kwa msaada wa ccm, kumbuka ktk bunge lililopita Lukuvi alisifia na kusema kuna chama kimesajiriwa hivi karibuni kinaonekana kuwa makini,we uliona wapi waziri wa ccm akisifia upinzani,shtuka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.