Hao wabunge waambie waache unafiki,kuitwa ktk chama Kwa wabunge linapokuja jambo kubwa Hilo lipo kila wakati na Wala sio mara ya kwanza,pili wote walikubali na kujadili na kuupitisha
Mm nilitumiwa pesa tar.7/07/2023 nikajua ataomba muamala urudishwe Kumbe hakurudisha , Jana nikakumbuka nikampigia Simu kapokea nikamielekeza akasema Kweli nilikosea ila mm mwenye hapa nilipo nipo taaban ninaumwa kwahiyo nilishindwa hata kuirudisha hiyo pesa.Kwa nilivyokuwa naongea nae nikweli...
Hii ni aibu Kwa wataakamu wetu,iweje Hadi Leo awe hajasoma Mkataba huu ambao ndio agenda ya nchi Kwa sasa na Kwa kuzingatia watanzania tunadhania TLS ni wabobezi ktk Sheria hivyo wangeza kutuonesha madhaifu au mazuri na namna ya kuboresha mkataba!
Sent from my Infinix X6511E using JamiiForums...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.