Recent content by nyamwingi

  1. nyamwingi

    Rais Samia yupo njiani kurejea nchini kwa Dharura baada ya kutokea mafuriko Mkoani Manyara ambayo mpaka sasa watu 20 wamepoteza maisha

    ANGEKUWA YULE JAMAA ANGESEMA KWANI MM NDIO NILILETA MAFURIKO NDUGU ZANGU AU NAONGOPA! Sent from my Infinix X6511E using JamiiForums mobile app
  2. nyamwingi

    Askofu Gamanywa: Hamas ni cha mtoto, Waarabu wote wataungana kutaka kuifuta Israel lakini Watashindwa kwa mujibu wa maandiko!

    Lete hiyo taarifa Yao ya kulijua hili,vinginevyo huu utabakia kuwa ni umbea tu
  3. nyamwingi

    Geita: Mti ulioanguka miezi mitano iliyopita wainuka na kuanza maisha tena

    Ikibainika mti haukuanguka itakuwaje sasa na huu ushirikina ulionao mkuu?
  4. nyamwingi

    Mkataba wa Bandari: Anayekiri makosa na kuomba msamaha asamehewe kisha twende pamoja

    Hao wabunge waambie waache unafiki,kuitwa ktk chama Kwa wabunge linapokuja jambo kubwa Hilo lipo kila wakati na Wala sio mara ya kwanza,pili wote walikubali na kujadili na kuupitisha
  5. nyamwingi

    Lengo la Serikali ni kuwaua wakosoaji? Kesi ya Uhaini ni eneo la kujifunza

    Wananchi Gani hao mbona tupo tunaoafiki mchakato uendelee faster
  6. nyamwingi

    Tundu Lissu: Rais Samia ameuza bandari zetu zote zilizopo na zitakazokuwepo

    Uliwahi kumuona au ndo Yale maneno yake unayaamini? Aliwahi kusema hatukopi mipesa Kwa mabeberu Kumbe Daaa!
  7. nyamwingi

    Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Malipo kila mwezi ni kabla ya Tar.12+ ikizidi unaweza kufungiwa huduma ya kupiga + internet Hadi ulipie,ila ukipigiwa Simu itaingia bila shida
  8. nyamwingi

    Mkataba wa Bandari: Ni kweli Rais wa hajui alichosaini au ni mpango mkakati uliojificha?

    Aiseee kweli we ni mwanasheria? Mbona unaonekana mtupu sana ktk hii Fani? Sent from my Infinix X6511E using JamiiForums mobile app
  9. nyamwingi

    Hamza Johari anahusiakaje na Mkataba wa Bandari?

    Kwani wa hapa we umeuona wapi? Sent from my Infinix X6511E using JamiiForums mobile app
  10. nyamwingi

    Rafiki yangu alimrusha mtu mwaka 2017/2018: Anamtafuta amwombe msamaha na kumlipa akikubali

    Mm nilitumiwa pesa tar.7/07/2023 nikajua ataomba muamala urudishwe Kumbe hakurudisha , Jana nikakumbuka nikampigia Simu kapokea nikamielekeza akasema Kweli nilikosea ila mm mwenye hapa nilipo nipo taaban ninaumwa kwahiyo nilishindwa hata kuirudisha hiyo pesa.Kwa nilivyokuwa naongea nae nikweli...
  11. nyamwingi

    DP WORLD: Mkataba wa Bandari kwa Kiswahili (tafsiri isiyo rasmi)

    Kipengele kipi? Sent from my Infinix X6511E using JamiiForums mobile app
  12. nyamwingi

    Rais TLS: Huwezi kutuita ghafla kutoa maoni kuhusu Bandari, sisi sio Waganga wa Kienyeji

    Hii ni aibu Kwa wataakamu wetu,iweje Hadi Leo awe hajasoma Mkataba huu ambao ndio agenda ya nchi Kwa sasa na Kwa kuzingatia watanzania tunadhania TLS ni wabobezi ktk Sheria hivyo wangeza kutuonesha madhaifu au mazuri na namna ya kuboresha mkataba! Sent from my Infinix X6511E using JamiiForums...
  13. nyamwingi

    Rais Samia amerejesha uhuru wa kujieleza na kutoa maoni bila woga

    Watanzania hatuwakilishwi na mbowe,cc hatulalamiki Bali tunatoa maoni Sent from my Infinix X6511E using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom