Recent content by Nyamufanco

  1. Nyamufanco

    JamiiForums Tanzania Rais Samia ashinda tuzo ya kuendeleza Sekta ya Miundombinu Barani Afrika

    Ukiwa ndani ya V8 huwezi jua kama barabara ni mbovu. Mtu wa V8 kumpa tuzo mtu wa V8 mwenzake inawezekana kabisa. Hongera mama SSH kwa kupata tuzo hiyo. Lakini kama ungepewa na sisi walalahoi ingemata zaidi.
  2. Nyamufanco

    JamiiForums Tanzania Januari Makamba: Tanzania hatuna uhaba wa mafuta, tumeshaagiza mengine ya Mei, Juni 2022

    Pigeni hela tu mtulie. Tuacheni sisi wa daraja la chini tuhangaike na kuteseka. Mungu alishawapa.
  3. Nyamufanco

    JamiiForums Tanzania Serikali yawasilisha mapendekezo ya bajeti ya 2022/2023 ya Tsh trillioni 41.06

    Na hiyo 30% itatoka wapi? Mh. Mwigulu waziri wa fedha tueleze watanzania tujue sasa kama sisi kwa makusanyo ya ndani tutapata 70% hiyo nyingine itatoka wapi?
  4. Nyamufanco

    JamiiForums Tanzania Mauaji Mbeya: Afisa Ustawi wa Jamii adaiwa kunyongwa hadi kufa

    Vifo, vifo, vifo. Sijui kwanini kipindi hiki. Sijui kwanini. Sijui kwanini. Polisi wanashindwa wapi?
  5. Nyamufanco

    JamiiForums Tanzania Tabora: Mwanafunzi auawa na kunyofolewa sehemu za siri

    Serikali jamani, polisi mpo wapi walinzi wa raia na mali zake? Mama Samia Rais wetu, kaka yako Magufuli aliwezaje kudhibiti maovu haya? Mama Samia wewe unashindwaje Mama? Toa tamko. Ukisema RPC, OCD, DSO, RC na DC wawajibike kwa kila tukio la mauaji naamini haitatokea tena mama. Wananchi...
  6. Nyamufanco

    JamiiForums Tanzania Mutahabwa: Kutokuwapo kwa upendo kati ya Mwanafunzi na Mwalimu wa Hisabati huchangia Wanafunzi kufeli

    Ni kweli anachosema lakini shida bado ipo tu kwa mazingira yetu haya. Mimi ni mwalimu wa hesabu,nimejaribu hata kutoa zawadi za madaftari na fedha taslimu lakini bado hazizai matunda. Ila nilipochapa mboko kusema kweli mwaka huo nilipata watoto kadhaa waliofanya vizuri somo langu. Kwa hiyo mimi...
  7. Nyamufanco

    JamiiForums Tanzania Waziri Nape Nnauye aitaka TCRA kuyaagiza Makampuni ya Mawasiliano kusitisha upandishaji wa bei ya Vifurushi

    Mimi nasubiri nione kama ng'ombe hatakunywa maji. Tunaumizwa sana wananchi, lakini sina hakika kama Nape anaweza mfunga Paka kengele
  8. Nyamufanco

    JamiiForums Tanzania Gharama za vifurushi vya intaneti zapandishwa tena kimya kimya. Je, ni censorship ya aina yake?

    Acha watumalize. Siku hizi mitandao ni sehemu ya maisha kwa kila mtu. Na wengine biashara zao zipo huko. Kuongeza gharama za vifurushi ni kutuua kabisa
  9. Nyamufanco

    JamiiForums Tanzania Waziri Ummy: Walimu 258 wanajihusisha kimapenzi na wanafunzi

    Mmmhhhh! Kwani sheria inasemaje? Au ndo kusema sisi tulioko vijijini to tumewekwa kama bikoni? No haki ya mtumishi kuhama. Hayo ya mbadala ni kumuwekea kizuizi cha kuondoka.
  10. Nyamufanco

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Picha: Mabinti wa Museveni ni Waganda kweli?

    Museven ni mtusi, mke wake mtusi unataka watoto wawe wasukuma?
  11. Nyamufanco

    JamiiForums Tanzania Kirumbe Genda: Mapendekezo ya Adhabu kwa Askofu Gwajima hazitoshi

    Wewe Ngenda unajua kama sasa Kigoma umeme umekuwa shida sana? Hujui kama maji yanasumbua Kigoma Mjini? Hujui kama Kigoma WAHA tunanyanyaswa sana UHAMIAJI? Yaaani hapo sasa ndo na wewe umechangia na utajiona umetoa hoja ya maana. Achana na Gwajima na Imani yake, pambana na kero za wananchi. Yeye...
  12. Nyamufanco

    JamiiForums Tanzania Spika Ndugai: Jerry Silaa lazima aombe radhi kwa umma

    Huyo Jelly siyo mpumbavu aseme hakatwi wakati anakatwa. Mnajaribu kuficha tu ili kutudanganya wananchi. Kuleni, mlishapewa wala msiigope. Hata kama hamlipi hatuna pakuwapelema
  13. Nyamufanco

    JamiiForums Tanzania ARUSHA: Polisi hawara aua mume wa ndoa kwa risasi

    Mmmmmmmmhhhh! Mke wako, uibiwe wewe, ulalamike wewe, upigwe risasi wewe na ufe wewe. Huyu mama siamini kama atakuwa salama katika maisha yake
  14. Nyamufanco

    JamiiForums Tanzania Baada ya Malalamiko ya wananchi, Serikali yasitisha bei mpya za vifurushi

    Du! Watu tunadanganywa kweli! Kabla ya vifurushi vipya kutangazwa Halotel ilikuwa mtu anapata kifurushi vya Internet GB 5 mpaka 7 kwa wiki kwa bei ya 5,000sh. Baada ya mabadiliko ni sh5,000 GB 2.2 na dakika 30 mitandao yote. Kama ni kweli Serikali wamesitisha kwanini nisipate GB 5 mpaka 7 kwa...
Back
Top Bottom