Recent content by Nyamori

  1. Nyamori

    Naomba ufafanuzi kuhusu michango ya NSSF

    Hivi inawezekanaje muajiri amekwisha peleka mishango NSSF alafu ukienda kuangalia salio ukakuta kuna michango kadhaa imechomolewa wakati kabla ilikua inasoma. Hii kitu imewatokea wanachama kadhaa, naomba ufafanuzi Kwa mwenye ufahamu.
  2. Nyamori

    Tetesi: Hotel ya Ryan Bay Mwanza kubomolewa

    Ni kweli jengo limepigwa xxx Bomoa lakini hijajulikana mwisho itakuaje,ni hali ya wasiwasi kwa wafanyakazi na mmiliki.
  3. Nyamori

    Baba yangu hataki nioe kabila tofauti na langu

    Ni ushauri tu .jiulize ni kwa nini Siku hizi ndoa nyingi hazidum au zina migogoro isioisha.Luna watu wameziacha nyumbani zao na Mali zao na KWENDA kuanza moja.hizo Mali zinaisha ila undugu na ubinadam unabaki pale pale.
  4. Nyamori

    Baba yangu hataki nioe kabila tofauti na langu

    Wengi wanaochangia nafikiri hawajaoa,hawajui maisha ya ndoa yalivyo:kuna kuumwa ,kufirisika,kugombana,kufa au kufisha,undugu na mambo mengine...mzazi wako anapokuchagulia pa kuoa usifikiri hana akili,anajua maana ameyaona mengi.USHAURI:Kama umepewa option ya kuoa huyo mchumba wako muoe lkn pia...
  5. Nyamori

    Hongera Zitto kwa kufunga ndoa

    Hongera mbunge wangu.
Back
Top Bottom