Hivi inawezekanaje muajiri amekwisha peleka mishango NSSF alafu ukienda kuangalia salio ukakuta kuna michango kadhaa imechomolewa wakati kabla ilikua inasoma. Hii kitu imewatokea wanachama kadhaa, naomba ufafanuzi Kwa mwenye ufahamu.
Ni ushauri tu .jiulize ni kwa nini Siku hizi ndoa nyingi hazidum au zina migogoro isioisha.Luna watu wameziacha nyumbani zao na Mali zao na KWENDA kuanza moja.hizo Mali zinaisha ila undugu na ubinadam unabaki pale pale.
Wengi wanaochangia nafikiri hawajaoa,hawajui maisha ya ndoa yalivyo:kuna kuumwa ,kufirisika,kugombana,kufa au kufisha,undugu na mambo mengine...mzazi wako anapokuchagulia pa kuoa usifikiri hana akili,anajua maana ameyaona mengi.USHAURI:Kama umepewa option ya kuoa huyo mchumba wako muoe lkn pia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.