Vijana inabidi wajitambue, mfumo wetu wa elimu haumuandai kijana kijiajiri na wengi tumekuwa na mtazamo wa kuajiriwa tu , hongera sana kijana kwa kutambua
Wakuu naulizia zoezi la uhakiki kwa wastaafu ambao hupokea pesa zao za pensheni baada ya miezi 3, eti limetangazwa na kama ndiyo lini zoezi litafanyika na maeneo gani?? Baba yangu ameletewa taarifa hizo ila zikiwa nusu, kwa yoyote anayejua anifahamishe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.