Dahh, Kamanda Upo sawa ila umetoa mtihani mgumu ,wengine ni wagonjwa .Ni vizuri kina mama ambao Mungu amewapa upendeleo wangejihifadhi mtafunga watu wengi sana kwa mitazamo ya namna hii.
Shida IPO kwa yule mama mtu.Yeye ndiyo amemkosea mwanae.Na hata huyu FATUMA hapaswi kulaumuwa muongo yeye kaambiwa na mama mtu.Zinaa kina mama acheni mtaua watu bure.
Hata wakienda Umoja wa Ulaya hatutishiki kwa kuwa,Serikali ya awamu ya tano haitegemei msaaada wa wazungu.Tuliposema hapa kazi tu ,hatukuwa tukitania.Tunamshukuru Mungu kilio chetu amekisikia tumepata Rais anaetosha.Sasa nyinyi mnaepinga subirini muone kazi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.