Recent content by Nyami2010

  1. Nyami2010

    Waziri January Makamba katika kashfa nzito ya kifisadi

    Huu ni upepo utapita tu....na JM ataendelea kudunda......
  2. Nyami2010

    Dkt. John Magufuli amuapisha Balozi Eng. John Kijazi

    Nafasi ya Mkuu wa TISS ni ndogo kwa Chief Secretary. Kama itakuwa hivyo, hiyo ni demotion.
  3. Nyami2010

    Magufuli, acha kujitafutia sifa kwa mfumo huu

    Ukweli, Mzee Kikwete alipewa za uso hadi aibu!
  4. Nyami2010

    Ubinafsi wa CHADEMA makao makuu waikosesha CHADEMA Jimbo la Kyela

    Hivi tunavyoongea, huyo MREMA yupo anashirikiana na baadhi ya watu hapo CHADEMA makao makuu kuchakachua majina ya madiwani wa viti maalum. Tafadhari, msitukatishe tamaa maana hayo munayoyafanya ndiyo ya CCM!MREMA ananyoshewa vidole kuanzia uteuzi wa wagombea majimboni, viti maalum Ubunge na...
  5. Nyami2010

    Ubinafsi wa CHADEMA makao makuu waikosesha CHADEMA Jimbo la Kyela

    Mtoa mada yupo sahihi. CHADEMA imepoteza majimbo mengi kwa sababu ya ujanja ujanja wa makao makuu. Nasikia kuna Mtu anaitwa Mrema...ni mzuri kwa kupindisha mambo last minute. Lipo pia Jimbo la Kyerwa, alieteuliwa awali kugombea Ubunge ni tofauti na mtu aliekuja kugombea. Matokeo yake...Jimbo...
  6. Nyami2010

    Nini kimempata aliyewahi kuwa mbunge wa Kyelwa, Mutungirehi?

    Hakuna sababu ya kutukanana juu ya Mtungirehi. Kama ameenda mahakamani, mwenye haki ataonekana.
  7. Nyami2010

    Nini kimempata aliyewahi kuwa mbunge wa Kyelwa, Mutungirehi?

    Kuna tetesi kuwa huyo Mtungilehi alipewa donge nono na Ccm kauza hicho kiti. Rejea gazeti la Tanzaniadaima 5 Nov 2015.
  8. Nyami2010

    GE2015 Ubunge wa Karagwe 2015 ni zamu ya Kahangwa

    Bwana Kahangwa Wewe ni Jembe, kwa hiyo songa mbele uwakomboe wana-Karagwe. Ila maelezo yako kidogo yanajikanganya. Mfano, utawezaje kujenga hospitali ya Wilaya ya Kyerwa, wakati wilaya yako ni Karagwe? Pia, unasema utaondoa vizuizi barabarani ili Kahawa iuzwe nchi za nje, kwa maana ya...
  9. Nyami2010

    Prof. Anna Tibaijuka atolea Ufafanuzi sakata la Escrow, agoma Kujiuzulu

    Ukweli, nilikuwa ninampenda na kumuamini sana mama Tibaijuka, ila baada ya kuona yumo kwenye mgao wa fedha za sisi walipa kodi, sitaweza tena kurudisha upendo kwa mama. Hakika, mama hata afanyeje hawezi kujisafisha. Ule mgao wa fedha, yeye kapata sawa na mzee Andrew Chenge tena siku moja...
  10. Nyami2010

    Waliochukizwa na mapingamizi wateketeza nyumba ya Mwenyekiti wa CCM Karagwe, hali ni tete

    Habari hii ni kweli, nimeongea na baadhi ya wahusika. Hakika, ni swala la muda tu!
  11. Nyami2010

    Benki zinazotoa mikopo bila Mkataba na Mwajiri

    Unaweza jaribu NMB au ACB....ila sina uhakika Dada
  12. Nyami2010

    Nadharia ya Usalama wa Taifa (TISS) ibadilike kuanzia sasa, Taifa lipo hatarini

    Mhe. Yericko, ushauri wako ni mzuri kwa ustawi wa Taifa letu. Ninapenda kukufahamisha kuwa TISS ipo imara kuliko tunavyodhani baadhi yetu. Mambo mengi unayoyaona yanatendeka au yanaendelea kutendeka, wakubwa "wenye nchi yao" ushauriwa kabla au wameishashauriwa, juu ya athari au faida zake...
  13. Nyami2010

    Kenya Airways wamenunua Dreamliner sita, sisi tunakodi ka ndege ka kwenda mikoani kwa mbwembwe...

    Mkuu, nani kakwambia kuna ushindani kati ya nchi hizi mbili? Kenya walipokuwa wanauana, mbona hukusema? Ni kweli Tanzania inasusua kwenye usafiri wa Anga, ila kuna baadhi ya mambo wako vizuri kuliko nchi nyingi Afrika, na Kenya ikiwemo. Ninawasilisha!
  14. Nyami2010

    Establishment of Private Intelligence Agency in Tanzania

    Ni wazo zuri sana, ila kwa sheria zetu ni vigumu kuwa na Taasisi kama hayo. Bovya hiyo link ili upitie: http://polis.parliament.go.tz/PAMS/docs/15-1996.pdf (The Tanzania Intelligence and Security Service Act, 1996)
Back
Top Bottom