siyo kujiuzulu tu, badi inabidi ajitathimini uanachama wake ndani ya chama chetu maana kavunja ahadi ya 4 na ya 5 za mwanaCCM.Atajiuzulu...
4. Rushwa ni adui wa haki. Sitapokea wala kutoa rushwa.
5. Cheo ni dhamana. Sitakitumia cheo changu wala cha mtu mwingine kwa faida yangu.